Tofauti za kiuchumi vs mapenzi na ndoa

nipeukweli

JF-Expert Member
Jul 16, 2012
656
348
habari zenu wadau...

hivi ni athari zipi zilizopo wapenzi wanapokuwa na tofauti za kiuchumi/kifedha? tafakari mfano huu...

kuna kijana na binti wanapendana sana, yaani saaaana. kijana ni mtu aliyefanikiwa sana kifedha mapema, amesoma ana nyumba kadhaa, magari na mali zinginezo za kuhamishika na zisizohamishika. mbali na juhudi zake za kimaisha, kijana anatokea familia inayojiweza sana. Binti amemaliza chuo kama miaka miwili iliyopita na anafanya shughuli zake bila kutegemea network ya kijana. kipato cha binti ni cha kawaida (wastani wa laki 5 kwa mwezi) na anatokea familia ya kipato cha kati.

wawili hawa wanataka kufunga pingu za maisha ila wazazi wa kijana wanatia ngumu kwasababu binti hatoki katika familia yenye daraja lao la kifedha.

swali langu; kwani huo utofauti wa kifedha baina ya hao wawili au familia zao unaweza ukawa na athari zipi katika ndoa yao?

karibuni tujadili....
 
Mmmmmh hapa napo kweli kuna neno

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Wazazi wengine bwana! sa hapo utajiri wa familia una nafasi gani katika hiyo ndoa.
 
mhm hapo kusema kweli mie naona tatizo ni kwamba huyu jamaa itabidi audumie sana family ya demu pale panapo tokea tatizo. sasa mambo ya kubeba msalaba ambao sio wako ni noma. pili ukweli ni kwamba financially itafika sehemu mwana ataona kero maana wewe tuu.
 
habari zenu wadau...

hivi ni athari zipi zilizopo wapenzi wanapokuwa na tofauti za kiuchumi/kifedha? tafakari mfano huu...

kuna kijana na binti wanapendana sana, yaani saaaana. kijana ni mtu aliyefanikiwa sana kifedha mapema, amesoma ana nyumba kadhaa, magari na mali zinginezo za kuhamishika na zisizohamishika. mbali na juhudi zake za kimaisha, kijana anatokea familia inayojiweza sana. Binti amemaliza chuo kama miaka miwili iliyopita na anafanya shughuli zake bila kutegemea network ya kijana. kipato cha binti ni cha kawaida (wastani wa laki 5 kwa mwezi) na anatokea familia ya kipato cha kati.

wawili hawa wanataka kufunga pingu za maisha ila wazazi wa kijana wanatia ngumu kwasababu binti hatoki katika familia yenye daraja lao la kifedha.

swali langu; kwani huo utofauti wa kifedha baina ya hao wawili au familia zao unaweza ukawa na athari zipi katika ndoa yao?

karibuni tujadili....

hiyo ishu ni ngumu mno kulingana na culture
je wazazi ni makabila yaapi? wahindi au waarabu ni ngumu mno matajiri ku mix na masikini

na kama tayari wazazi wa mvulana wameshasema hawataki
huyo binti salama yaka wakakae mbali ikiwezekana wahame mji
ili kuepusha shari nyiingi zitakazokuja

kuna hatari pia ya kunyanyasika wazazi au ndugu wa binti pia
 
hiyo ishu ni ngumu mno kulingana na culture
je wazazi ni makabila yaapi? wahindi au waarabu ni ngumu mno matajiri ku mix na masikini

na kama tayari wazazi wa mvulana wameshasema hawataki
huyo binti salama yaka wakakae mbali ikiwezekana wahame mji
ili kuepusha shari nyiingi zitakazokuja

kuna hatari pia ya kunyanyasika wazazi au ndugu wa binti pia
wahusika wote ni none other than Chaggas. kijana, parents wake, binti na familia yake....wooote chaggas.
familia ya binti pamoja na kwamba wana uwezo wa kati, hawana mpango wa kulia njaa kwa mtu yeyote (if u get what I mean)...ni jeuri in a way japo hawana pesa kubwa kama ya upande wa pili.
 
wahusika wote ni none other than Chaggas. kijana, parents wake, binti na familia yake....wooote chaggas.
familia ya binti pamoja na kwamba wana uwezo wa kati, hawana mpango wa kulia njaa kwa mtu yeyote (if u get what I mean)...ni jeuri in a way japo hawana pesa kubwa kama ya upande wa pili.

Wachaga wapo wa aina nyiingi but kama ni hivyo
basi watawezana tu...sioni big deal hapo
 
mhm hapo kusema kweli mie naona tatizo ni kwamba huyu jamaa itabidi audumie sana family ya demu pale panapo tokea tatizo. sasa mambo ya kubeba msalaba ambao sio wako ni noma. pili ukweli ni kwamba financially itafika sehemu mwana ataona kero maana wewe tuu.

ha ha haaa hata signature yako tu inajieleza mkubwa...
ni kwamba familia ya binti pamoja na kwamba wana uwezo wa kati, ni jeuri na hawana mpango wa kulia njaa kwa mtu. ndiyo maana binti hakutaka kutegemea network ya kijana ili kuanza lyf yake...anapigana kivyake
 
ah mie mtoto wa kike babu!niogope kuolewa ili kiwe nini?raha ya karata kuoa na kuolewa!ila sijacheza mapiku siku nyingi ngoja leo ndiyo iwe turn on ya siku!

mapiku ipo online?
au ushapa zombie la kucheza nalo karata? lol
halafu likusindikize saloon? lol
 
mapiku ipo online?
au ushapa zombie la kucheza nalo karata? lol
halafu likusindikize saloon? lol
Ah hivi mpka sa hizi naweza kuwa na zombie kweli?nilidhani ni kina lara 1 tu.sio kucheza mapiku online naenda kulianzisha home leo,af najifungisha makusudi yani nafanya juu chini kufuga jike ili niolewe UPYA!nikitoka hapo ahhhh si haba lazima nipelekwe honeymoon ya kwenye neti!
:focus:uwezo wa kichumi kwenye ndoa unaweza kuathiri hiyo ndoa iwapo tu
-wanaotaka kuoana hawana msimamo wao kama wapenzi
-wanauvalue vipi uhusiano wao
-wanajitegemea kiasi gani kimaisha
vinginevyo waoane kwa kwenda mbele hao wazazi wa huyo mwanaume wakitaka mtoto wao aoe wenye uwezo basi wamtafutie jengo la benki alioe!
 
Last edited by a moderator:
Kwa jamii zetu za kibongo hata kama mwanaume ni maskini na ameoa familia tajiri
bado ataiudumia tu familia ya binti! kukamuliwa kama kawa, kwa sana!

mhm hapo kusema kweli mie naona tatizo ni kwamba huyu jamaa itabidi audumie sana family ya demu pale panapo tokea tatizo. sasa mambo ya kubeba msalaba ambao sio wako ni noma. pili ukweli ni kwamba financially itafika sehemu mwana ataona kero maana wewe tuu.
 
hii kitu ni kama norm kwa familia zenye uwezo.hapa familia inajaribu kusecure family wealth and status kwenye society.family zenye uwezo huwa zinamaintain kizaz ambacho mtoto anakuwa nurtured toka mdogo na anajengewa misingi mizur ya elimu na family values,hivyo bac wasingependa kuruhusu misingi hiyo kuvurugwa katika uzao.kijana kuoa lofa au kuolewa na lofa ni kumix na kuharibu social status ya family husika.s6 hata akimwoa huyo binti kamwe famiy yake haiwey kumkubal na atateseka pac kufurahia ndoa hiyo
 
Ah hivi mpka sa hizi naweza kuwa na zombie kweli?nilidhani ni kina lara 1 tu.sio kucheza mapiku online naenda kulianzisha home leo,af najifungisha makusudi yani nafanya juu chini kufuga jike ili niolewe UPYA!nikitoka hapo ahhhh si haba lazima nipelekwe honeymoon ya kwenye neti!
:focus:uwezo wa kichumi kwenye ndoa unaweza kuathiri hiyo ndoa iwapo tu
-wanaotaka kuoana hawana msimamo wao kama wapenzi
-wanauvalue vipi uhusiano wao
-wanajitegemea kiasi gani kimaisha
vinginevyo waoane kwa kwenda mbele hao wazazi wa huyo mwanaume wakitaka mtoto wao aoe wenye uwezo basi wamtafutie jengo la benki alioe!

mhhh lol
 
Back
Top Bottom