YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,906
- 51,928
Wana hela wewe usafi sio kigezoMji mchafu, watu wachafu, hawana ustaarabu, wabinafsi, wavivu both kufikiri na kuact..hawaeleweki kitu gani kwao ni muhimu, they r not serious kwa kifupi bora anayeishi kwenye tembe au hata chini ya mti lakini ana dira ya maisha.
Gereji unakuta mtu mchafu balaa lakini ana pesa kuliko mvua suti bosi ofisini