tofauti ya bb na nokia e 73

Voice of Wisdom

JF-Expert Member
Oct 4, 2011
537
240
poleni na majukumu wadai wa jamiiforums na wanatekohama. ningependa kujuzwa kuna tofauti gani kati ya blackberry na nokia E73
nawaasilihsa
 
Haujasema BB ipi ila nadhani utakuwa unamaanisha zinazofanana nayo shape kidogo. Karibia kila kitu ni tofauti zinafanana muundo tu. Operating System tofauti, apps tofauti, performance tofauti etc.
 
asante kwa utangulizi. ningefurahi kujua zaidi kuhusu
  1. ubora zinatofutiana vip? kwa mfano kasi ya kuload, uwezo wa kutunza chaji, life span(ipi inadumu zaidi ya nyingine) operating system na general performance
  2. upatikanaji wa vifaa(accessories zake)
  3. sifa nyinginezo za bbm bold /nokia E73 ambazo zinaifanya iwe bora zaidi ya ingine
 
asante kwa utangulizi. ningefurahi kujua zaidi kuhusu
  1. ubora zinatofutiana vip? kwa mfano kasi ya kuload, uwezo wa kutunza chaji, life span(ipi inadumu zaidi ya nyingine) operating system na general performance
  2. upatikanaji wa vifaa(accessories zake)
  3. sifa nyinginezo za bbm bold /nokia E73 ambazo zinaifanya iwe bora zaidi ya ingine

Kwa network speed n73 ni bora kuliko bb nyingi kwani ina 3g na bb bold nyingi hazina 3g

Software kimaana messengers na zinazofanania nazo bb ipo juu ila black market n73 ipo juu maana unaweza kuhack na kuinstall unsigned software

kifashion na muonekano bb inapendwa na ipo kwenye fashion wakati n73 ni old model

Kiofisi bb nadhan pia ipo juu ina qwerty keyboard(a hadi z zipo separated) na office software za doc,ppt,pfd n.k wakati n73 ina keyboard ya kawaida na software zake ni za kununa hadi ziwe cracked ndo bure (n series unalipia e series ni bure office software - kwa nokia)

Multmedia yani music video picha na vifananiavo n73 ipo juu maana ina sauti kama ya kichina ina video player inayo edit (inakuja na simu) image editor (inakuja na simu)bb bado kidogo

Uhuru wa kutumia simu yako n73 ipo juu huhitaji kununua net ya mwez wala huulizwi ukifanya chochote kwenye simu yako, bb wao wanabana sana kwenye simu zao mpaka ulipie kwa mwez, mfano bbm ipo kwenye simu yako lakini hutumii hadi ulipie

Labda tu kufunga nitoe ushauri kama unapenda chezea simu, mtundu mtundu wa net unataka simu ya kujifunzia hutajuta ikiharibika chukua n73, kama unapenda kuchat, unaogopa simu kuharibika hupend virus, mstaarabu take bb
 
Kwa network speed n73 ni bora kuliko bb nyingi kwani ina 3g na bb bold nyingi hazina 3g

Software kimaana messengers na zinazofanania nazo bb ipo juu ila black market n73 ipo juu maana unaweza kuhack na kuinstall unsigned software

kifashion na muonekano bb inapendwa na ipo kwenye fashion wakati n73 ni old model

Kiofisi bb nadhan pia ipo juu ina qwerty keyboard(a hadi z zipo separated) na office software za doc,ppt,pfd n.k wakati n73 ina keyboard ya kawaida na software zake ni za kununa hadi ziwe cracked ndo bure (n series unalipia e series ni bure office software - kwa nokia)

Multmedia yani music video picha na vifananiavo n73 ipo juu maana ina sauti kama ya kichina ina video player inayo edit (inakuja na simu) image editor (inakuja na simu)bb bado kidogo

Uhuru wa kutumia simu yako n73 ipo juu huhitaji kununua net ya mwez wala huulizwi ukifanya chochote kwenye simu yako, bb wao wanabana sana kwenye simu zao mpaka ulipie kwa mwez, mfano bbm ipo kwenye simu yako lakini hutumii hadi ulipie

Labda tu kufunga nitoe ushauri kama unapenda chezea simu, mtundu mtundu wa net unataka simu ya kujifunzia hutajuta ikiharibika chukua n73, kama unapenda kuchat, unaogopa simu kuharibika hupend virus, mstaarabu take bb

Naomba kukuuliza kidogo mkuu..
mimi nimenunua bb 8520 inaonyesha haina 3G bali ina gprs/edge/2G..
Je hii 2G inakuaje?? kwa maana ninapotumia inaonyesha GPRS au EDGE na spidi inakua ndogo..
Pia mimi sijajiunga na plan yeyote like mwezi au wiki..ila nikijaribu ku-browse inafungua ila nikifika kuingiza password kama f/book inagoma au nikijaribu kudownload kitu inagoma..Tatizo liko wapi??
 
Naomba kukuuliza kidogo mkuu..
mimi nimenunua bb 8520 inaonyesha haina 3G bali ina gprs/edge/2G..
Je hii 2G inakuaje?? kwa maana ninapotumia inaonyesha GPRS au EDGE na spidi inakua ndogo..
Pia mimi sijajiunga na plan yeyote like mwezi au wiki..ila nikijaribu ku-browse inafungua ila nikifika kuingiza password kama f/book inagoma au nikijaribu kudownload kitu inagoma..Tatizo liko wapi??

2g ipo slow kwa tz ikipanda sana labda 10kbps tena ushukuru bb wana high compresion ya data. Inabidi uvumilie kama bado unaipenda simu yako.

Kuhusu net waje wataalam mi sifahamu
 
Kwa network speed n73 ni bora kuliko bb nyingi kwani ina 3g na bb bold nyingi hazina 3g

Software kimaana messengers na zinazofanania nazo bb ipo juu ila black market n73 ipo juu maana unaweza kuhack na kuinstall unsigned software

kifashion na muonekano bb inapendwa na ipo kwenye fashion wakati n73 ni old model

Kiofisi bb nadhan pia ipo juu ina qwerty keyboard(a hadi z zipo separated) na office software za doc,ppt,pfd n.k wakati n73 ina keyboard ya kawaida na software zake ni za kununa hadi ziwe cracked ndo bure (n series unalipia e series ni bure office software - kwa nokia)

Multmedia yani music video picha na vifananiavo n73 ipo juu maana ina sauti kama ya kichina ina video player inayo edit (inakuja na simu) image editor (inakuja na simu)bb bado kidogo

Uhuru wa kutumia simu yako n73 ipo juu huhitaji kununua net ya mwez wala huulizwi ukifanya chochote kwenye simu yako, bb wao wanabana sana kwenye simu zao mpaka ulipie kwa mwez, mfano bbm ipo kwenye simu yako lakini hutumii hadi ulipie

Labda tu kufunga nitoe ushauri kama unapenda chezea simu, mtundu mtundu wa net unataka simu ya kujifunzia hutajuta ikiharibika chukua n73, kama unapenda kuchat, unaogopa simu kuharibika hupend virus, mstaarabu take bb

Mkuu, ingawa umejaribu kumjibu, umekosea, kwani jamaa alitaka kujua kuhusu e73 and not n73 kama ulivyojibu. Nway, mi naona e73 ipo juu kwa internet na utilities zingine.
 
wew mwenye bb. Funga plan ktk cm yko thn download operamin au bolt browser zitakuwezesha kuingia net via crdt yko ktk chip na co data plan tena
 
Jamani msije kuwa mnafanya tathimini ya E73 na blackberry curve tena zile za miaka ile....me nahisi mtoa uzi ange weka wazi pia anaongelea bold model gani...kuna bold 9000, 9700, 9780 na nyingine zakutosha tu. Zinauwezo wa ajabu kwanzia speed ya net na kila kitu...
 
Jamani msije kuwa mnafanya tathimini ya E73 na blackberry curve tena zile za miaka ile....me nahisi mtoa uzi ange weka wazi pia anaongelea bold model gani...kuna bold 9000, 9700, 9780 na nyingine zakutosha tu. Zinauwezo wa ajabu kwanzia speed ya net na kila kitu...

Naamini ingekua ni bb mpya asingefananisha na n73 maana havifananishiki, hio n73 yenyewe ina successor zaid ya 10
 
wew mwenye bb. Funga plan ktk cm yko thn download operamin au bolt browser zitakuwezesha kuingia net via crdt yko ktk chip na co data plan tena

Ahsante kwa maelezo yako..
Baada ya kuweka plan mara ya kwanza naweza kuistall software inayoniwezesha kuchat itumia na kuendelea baada ya plan kuisha yaani kwa credit ya kawaida??
 
Hakuna chat program itakayofanya kazi bila data plan. Personally ningekushauri kutafuta simu ya Android, usability yake ni way above bb au symbian pia upatikanaji wa Apps ni mzuri zaidi. Pia sina uhakika kama bundle za data za kawaida zinaingia bb au mpaka ununue bb plan, mwenye bb atusaidie.
 
Hakuna chat program itakayofanya kazi bila data plan. Personally ningekushauri kutafuta simu ya Android, usability yake ni way above bb au symbian pia upatikanaji wa Apps ni mzuri zaidi. Pia sina uhakika kama bundle za data za kawaida zinaingia bb au mpaka ununue bb plan, mwenye bb atusaidie.
BB hakuna chat program yoyote inakubali bila kujisalimisha kwenye bb server na bei yake kwa airtel 35,000 kwa mwezi ni mkasi sana. But linapokuja sula la App hakuna kama iPhone bana, hawa jamaa App store yao imetulia sana na unapata kila kitu tofauti na BB Apps zao haziko user friendly sana kwa sisi tulio 3rd world. Kama ni mpenzi wa touch screen hakuna Android phone tamu kama Samsung Galaxy Gio au hata Young(y)
 
nadhani kutumia BlackBerry ni kuiDhulumu nafsi kwasababu kwa upande wangu hiyo sio smartphone ni Social Networking Device! Nokia e73 ni afadhali kwa mara mia1 kwasababu asilimia kubwa ya kinachofanyika kwenye blackberry hata kwenye e series kinawezekana.. BlackBerry ni Qwerty keyboard tu na messenger service yake (amabayo ni kawida kwa sasa), otherwise mambo ya camera, internet, multimedia (videos) , Hacking (MODs), Jailbreaking, Rooting etc vinaongeza utamu wa kutumia smartphone ikiwemo e73!! BlackBerry's No pls!! poleni sana wana BB,,, :eek:
 
BB hakuna chat program yoyote inakubali bila kujisalimisha kwenye bb server na bei yake kwa airtel 35,000 kwa mwezi ni mkasi sana. But linapokuja sula la App hakuna kama iPhone bana, hawa jamaa App store yao imetulia sana na unapata kila kitu tofauti na BB Apps zao haziko user friendly sana kwa sisi tulio 3rd world. Kama ni mpenzi wa touch screen hakuna Android phone tamu kama Samsung Galaxy Gio au hata Young(y)
hapo sahihi kabisa, hakuna zaidi ya iPhone, kwenye upande wa kuModify simu hakuna Platform iliyotulia kama IOS!! Applications nyingi zaidi ya zote na Application zilizo stable ukilinganisha na zilizopo kwenye mobile OS zingine,,,
 
asante kwa utangulizi. ningefurahi kujua zaidi kuhusu
  1. ubora zinatofutiana vip? kwa mfano kasi ya kuload, uwezo wa kutunza chaji, life span(ipi inadumu zaidi ya nyingine) operating system na general performance
  2. upatikanaji wa vifaa(accessories zake)
  3. sifa nyinginezo za bbm bold /nokia E73 ambazo zinaifanya iwe bora zaidi ya ingine
Dah!!! Yani hata kununua simu unataka kufanya SWOT analysis kwanza?

Ukimaliza, fanya pia kwa network unayotaka kujiunga nayo.... Very important!!
 
hapo sahihi kabisa, hakuna zaidi ya iPhone, kwenye upande wa kuModify simu hakuna Platform iliyotulia kama IOS!! Applications nyingi zaidi ya zote na Application zilizo stable ukilinganisha na zilizopo kwenye mobile OS zingine,,,

Mi sikubaliani na nyinyi kuwa iphone ina application nyini zaidi. Ila ntakubali iphone inazo nyingi za kulipia (over price shit)

Symbian ina app nyingi zaidi (ambazo sio official) any one anatengeneza uwezo wako tu.
kama huamini lets work practically bro taja appliacation ya iphone unayodhan mtu wa symbian hawez kua nayo
 
Mi sikubaliani na nyinyi kuwa iphone ina application nyini zaidi. Ila ntakubali iphone inazo nyingi za kulipia (over price shit)

Symbian ina app nyingi zaidi (ambazo sio official) any one anatengeneza uwezo wako tu.
kama huamini lets work practically bro taja appliacation ya iphone unayodhan mtu wa symbian hawez kua nayo
mkwawa nasikitika kukutaarifu kuwa platform inayoongoza kwa Application nyingi kwa statistics za Jan 2012 ni IOS ikiwa na Apps 550,000 ikifuatiwa na Android 450,000 Apps. Platform yako unayoitetea iliyofifia ghafla ina Application 116,583 hapo ikijumlisha (Symbian(S60 + S40) + Meego + Maemo = 116,583), BlackBerry 60,000 Apps, Windows Phone 61,478 Apps, Palm OS & Windows Mobile 8,000 applications, WebOS 7,062 applications.

'Download Count' upto Dec 2011 katika kila Platform.

1. IOS --> 25 Billion downloads
2. Android --> 13 Billion Downloads
3. Symbian + Maemo + Meego --> ~ 4 Billion downloads
4. BlackBerry --> ~ 6 Million downloads daily
5. WebOS --> 108 Million downloads
6. Windows Phone --> ~ 12 per person a month
7. Others Unknown.

taja application ya iphone unayodhan mtu wa symbian hawez kua nayo
kwa symbian nawezasema 99% ya applications za iphone, mtu wa symbian hawezikuwa nazo, hapo labda imejitahidi kuwa na baadhi ya maGame kwenye symbian yenye graphics ndogo kama Asphalt, Tomb Raider, Prince of Persia, etc..messengers kama nimbuzz, whatsapp, fb, msn, im+, za symbian za kishamba zinacrash mda wote..sidhani kama kuna application yeyote ya (symbian s60,v2,v3,v5, ^3) ya .sis au .sisx yenye ukubwa uliofika 100mb,,,ios inaskuma mpaka applications zenye 1.2 Gigabytes,, ushauri wangukama una interest na smartphones, huu mwaka wa 2012 sio mwaka wa kuhangaikia Symbian, ur so lostttttt,,,,:violin::violin:
 
Back
Top Bottom