thatHUMBLEguy
JF-Expert Member
- Nov 25, 2023
- 223
- 522
I love tech. Phones are part of it.
Leo nilikutana na fundi simu mmoja wa miaka mingi sana. Nakumbuka mwaka 2009, kabla Simu za laini mbili hazijakuwepo, huyu fundi alikuwa anakata laini na kuziunga kisha ukiweka kwenye simu, inakupa uwezo wa kuswitch from SIM 1 to 2 at your selection. Sijui ilikuwa teknolojia gani ile, ila ilisaidia sana utunzaji na utumiaji wa laini. Sikumbuki alikuwa akicharge bei gani. But then nilikua ninatumia Nokia 6 Buttons.
Teknolojia imetoka mbali sana. Wakati huo Nokia ndio ilikuwa Habari. Wale jamaa walitengeneza simu zenye 'body' imara sana. Battery ilikuwa safi kabisa.
Bahati mbaya teknolojia ukifanya mistake, wenzako wanalitumia na kukupiga gap. Kosa la Nokia kutoingia Android mapema to me ndio 'what broke the camels back'.
Mwaka 2014 nilinunua Nokia Lumia. Ikitumia OS ya Window. Ilikuwa ya kipumbavu kwa namna nyingi. WhatsApp ilikusa limited na features nyingi. Apps nyingi ambazo wadau wangu waliokuwa na Blackberry na HTC walikuwa wana enjoy sana. Bahati nilivunja kioo, sikuwahi kipata hadi leo simu ile iko store.
Leo nilikutana na fundi simu mmoja wa miaka mingi sana. Nakumbuka mwaka 2009, kabla Simu za laini mbili hazijakuwepo, huyu fundi alikuwa anakata laini na kuziunga kisha ukiweka kwenye simu, inakupa uwezo wa kuswitch from SIM 1 to 2 at your selection. Sijui ilikuwa teknolojia gani ile, ila ilisaidia sana utunzaji na utumiaji wa laini. Sikumbuki alikuwa akicharge bei gani. But then nilikua ninatumia Nokia 6 Buttons.
Teknolojia imetoka mbali sana. Wakati huo Nokia ndio ilikuwa Habari. Wale jamaa walitengeneza simu zenye 'body' imara sana. Battery ilikuwa safi kabisa.
Bahati mbaya teknolojia ukifanya mistake, wenzako wanalitumia na kukupiga gap. Kosa la Nokia kutoingia Android mapema to me ndio 'what broke the camels back'.
Mwaka 2014 nilinunua Nokia Lumia. Ikitumia OS ya Window. Ilikuwa ya kipumbavu kwa namna nyingi. WhatsApp ilikusa limited na features nyingi. Apps nyingi ambazo wadau wangu waliokuwa na Blackberry na HTC walikuwa wana enjoy sana. Bahati nilivunja kioo, sikuwahi kipata hadi leo simu ile iko store.