Nenda British Council, Dar es salaam kaulize. am out
nipe hiyo deal nikufundishe ukafanye hiyo paper British council..1hr 50 US dollar
nenda mlimani au kinondoni makabulini kama unaelekea soko la TX kuna sehemu pale watakusaidia jina lake limenitoka..
pili hii mada ni ya jukwaa la elimu sawa mkuu..
Ongera kwa kujiandaa kufanya toefl kwa dar unajiregister tansao(golden tulip) na mtihani int sch of tanganyika.pia hata ukitaka sat but ielt nenda british council toefl $ 300.usisite kuuliza tena
Asante mkuu Super,sasa kati ya hiyo yote (toefk,ielts,na sat) upi ni gharama nafuu? Na ni rahisi labda kufaulu?