Orketeemi
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 4,333
- 10,049
Kwa kweli msema kweli ni mpenzi wa Mungu .
Nikiri wazi kwamba nimekuwa nikishiriki kulifananisha jiji la Mwanza na Jiji la Arusha nikisema kuwa Mwanza na Arusha ni Sawa tu na mara nyingine huwa naenda mbali hadi kusema Arusha ni jiji zuri kuliko Mwanza.
Ilifikia kipindi hadi nikawa nasema kwamba Dodoma inaizidi Mwanza uzuri.
Lakini Kwa sasa baada ya kukaa Mwanza na kutembelea maeneo tofauti tofauti nakiri wazi kuifananisha Mwanza na majiji Kama Arusha au Dodoma ni utovu wa nidham na ukosefu wa hekima.
Kwa mantiki hiyo naomba Wana Mwanza mnisamehe . Nimekosa Mimi , nimekosa Sana.
Nikiri wazi kwamba nimekuwa nikishiriki kulifananisha jiji la Mwanza na Jiji la Arusha nikisema kuwa Mwanza na Arusha ni Sawa tu na mara nyingine huwa naenda mbali hadi kusema Arusha ni jiji zuri kuliko Mwanza.
Ilifikia kipindi hadi nikawa nasema kwamba Dodoma inaizidi Mwanza uzuri.
Lakini Kwa sasa baada ya kukaa Mwanza na kutembelea maeneo tofauti tofauti nakiri wazi kuifananisha Mwanza na majiji Kama Arusha au Dodoma ni utovu wa nidham na ukosefu wa hekima.
Kwa mantiki hiyo naomba Wana Mwanza mnisamehe . Nimekosa Mimi , nimekosa Sana.