Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,769
- 54,086
Mdogo mdogo una Anza kurejea chamani🙄😀Sali sana mkuu, ukimuamini mungu kuna wepesi, kama kamzigo flani kanapungua
Mdogo mdogo una Anza kurejea chamani🙄😀Sali sana mkuu, ukimuamini mungu kuna wepesi, kama kamzigo flani kanapungua
Kwenye picha hapo chini kulia kuna kikapu famous duniani yaani Iringa Basket.Depression hii imesababishwa na anguko kubwa la kiuchumi ninalopitia.
Biashara imechakaa, sina mzigo wala pesa bali madeni tu, I am stalked.
Things are not moving, napitia kipindi kigumu sana kuliko vipindi vyangu vyote vigumu hapa duniani.
I'm in btn devil and deep blue sea.
View attachment 2903809
braza!!! yaani unaweza kupigwa 2kio na unaejenga nae maisha,,,mpaka ukisikia kuna simba kajificha kichaka flani ukaona bora uende akugegede basi iishe ivo!!Naichukua hii mkuu.
kila mtu kaondoka maishani mwangu nimebaki na mamaangu tu.
yaani kavamiwa au?mama yangu usiku wakuamkia j5 kapigwa tukio la kijambazi , bongo yakisefenge sana ,imebidi niende bar kabisa leo mkuu , coz ilibaki kidgo waniondolee uhai wa kipenz changu mama yangu mzazi
Nimekutext PM mkuuKwenye picha hapo chini kulia kuna kikapu famous duniani yaani Iringa Basket.
Mkuu kuna breakthrough kwenye hiyo item. Karibu inbox....
Aisee mimi nimefikiria vingi sanabraza!!! yaani unaweza kupigwa 2kio na unaejenga nae maisha,,,mpaka ukisikia kuna simba kajificha kichaka flani ukaona bora uende akugegede basi iishe ivo!!
Sana ila nakazaTo yeye wangu kwani na ww unapitia the same situation?
Dah! touching..Biashara nafanyia iringa..
0614228735
Naomba mje mnunue hata kisu nipate kusurvive wakuu🙏
Kwa kuweza tu kuandika hapa tayari uko pazuri! Mshukuru sana Mungu kuna wengine hawana hata uwezo huoDepression hii imesababishwa na anguko kubwa la kiuchumi ninalopitia.
Biashara imechakaa, sina mzigo wala pesa bali madeni tu, I am stalked.
Things are not moving, napitia kipindi kigumu sana kuliko vipindi vyangu vyote vigumu hapa duniani.
I'm in btn devil and deep blue sea.
View attachment 2903809
Sawa mkuuKwa kuweza tu kuandika hapa tayari uko pazuri! Mshukuru sana Mungu kuna wengine hawana hata uwezo huo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo frampen shingap?Depression hii imesababishwa na anguko kubwa la kiuchumi ninalopitia.
Biashara imechakaa, sina mzigo wala pesa bali madeni tu, I am stalked.
Things are not moving, napitia kipindi kigumu sana kuliko vipindi vyangu vyote vigumu hapa duniani.
I'm in btn devil and deep blue sea.
View attachment 2903809
KweliHama huo mkoa haraka sana
Njoo Dar ila uwe na displine
Halafu wekeza Iringa
Kumbuka kutoa zaka 10% kila unachopata, hutokula mapato yako na shetani.Biashara nafanyia iringa..
0614228735
Naomba mje mnunue hata kisu nipate kusurvive wakuu
7500 but ni zile nyepesi .Hiyo frampen shingap?
🙏 nashukuru nduguKumbuka kutoa zaka 10% kila unachopata, hutokula mapato yako na shetani.
Pia mtafute Mungu kwa nguvu zako,ulijisahau umekaribisha wageni wanakula na wewe sasa.
Dah ndio mkuuyaani kavamiwa au?