ivi jamani makamanda mko wapi? Nafasi yakumuuliza maswali pm ndo hii..Ajabu
- Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bunge Hayupo wala msaidizi au aliyeteuliwa (maana J3 alkua Zitto) kwa kweli hawatutendei haki maana hii ni fursa adhimu
- Mpaka sasa hakuna swali kuhusu mgomo wa madaktari
- Karibu maswali yote spika anasema ni very specific
- Maswali ysiyo na mshiko yanaulizwa
- ...................kwamba bado kipindi hiki kipo......................hakina mshiko kwa watanzania
- Waziri Mkuu anasema mimi si waziri wa mambo ya ndani, mimi ni Waziri Mkuu........!!!! ameshindwa kujibu swali la machali.......najiuliza maana ya WAZIRI MKUU...najiuliza pia kwamba siku hizi hakuna VIKAO VYA BARAZA LA MAWAZIRI?
- ...ni kushangaa tu hiki kipindi....HAKINA MVUTO