Mimi naamini kati ya mtihani mkubwa ambao mungu amewapa wanawake ni kusubiri atongozwe,maana yake ili kumpata unayemtaka inabidi utongozwe Sana vinginevyo inabidi ukubaliane na yoyte hata kama Hana vigezo unavyo taka.
Hata ivyo katika miaka ya ivi karibuni wanaume wamepunguza kutongoza kwa kiwango kikubwa na hii nimeipata ninapopita kwenye social media tofauti tofauti kila mtu anasema la kwake mara maisha magumu, low self esteem,na vitu vingine vingi.
Pamoja na kwamba hayo yanaweza kuchangia lakini hili Jambo tusiliangalie kwa upande mmoja tu wanaume, nazani na wanawake wanajambo la kufanya kabla ya kwenda kwa mwamposa na kufunga kwa maombi,au kuhamua kumtongoza mwanaume is a terrible mistake
1. Jua kujipozisheni we unakaa ndani tu utatongozwaje?
2. Unapotoka penda kutembea peke yako Achana na kuambatana na kundi, mwanaume kukusoti kwenye kundi ni ngumu,
3. Kuwa simple kimuonekano usipende Sana kujiweka kibei mbaya maana hata wanaume wa bei mbaya hawatakagi wanawake wa bei mbaya.
4. Jua namna ya kumkataa mwanaume akueshimu na akubaliane na wewe kirahisi ,usimwambie mwanaume unamtu wakati hauko naye na huna pete mjibu mtu kiuwazi kwa kumwambia ukweli uliopo. Mfano najua unanihitaji lakin sijavutiwa kabisa kuwa na wewe kivyovyote, ukiweza mwambie na sababu ya kumkataa.ukimaliza kaa kimya ondoka Usipayuke, kuwa siriazi na stable chunga kabisa kutukana au kutoa maneno ya zarau.usijibu tena kitu chochote iwe kwenye simu au kawaida.
5.Tambua unachotaka ukivaa kiuni utavutia wauni, ukivaa kiheshima,(elewa kuvaa kieshima siyo kuvaa kiumama jua namna ya kutemple na age yako) utavutia permanent and long relationship
6.Sahau yaliyopita kila mtu anastori tofafauti defence mechanism zinazotokana na mahusiano yaliyopita itakukwamisha Sana,yale mambo ya kusema wanaume wote ni Sawa haitasaidi chochote
7.Achana na inferiority complex ,hii ni Ile kuona MTU anayekutongoza anakuzarau,au anajiskia au we siyo kitu kwake hii itakukwamisha sana.kama humwamini mpe muda mnyime mapemzi msikilize
8. Epuka kuongea vitu sensitive mbele za wanaume hata kama unaujasiri kiasi gani,hata kama ni kiutani usiongee maneno machafu mbele ya wanaume mtacheka mtafurahi lakin ashakuvua vyeo
9. Kama wewe ni pisi Kali na kwa bahati mbaya au nzur ukagundua tembea na point no 3,5 na kama umempenda mtu na akakutongoza usikae Na Ile anamamuzi akiniacha mi ntatongozwa na wengine ni kweli atakuja ila anaweza kuja shetani
10. Chunga maneno ya kushujaa kutoka kwenye kinywa chako kumbuka kila neno linalotoka kwenye kinywa chako lina ku grade
11. Wana endeleeni na point zingine mnazoona zinawakwamisha kuchukuwa hatua ya kutongoza kutoka kwa lady's
Hata ivyo katika miaka ya ivi karibuni wanaume wamepunguza kutongoza kwa kiwango kikubwa na hii nimeipata ninapopita kwenye social media tofauti tofauti kila mtu anasema la kwake mara maisha magumu, low self esteem,na vitu vingine vingi.
Pamoja na kwamba hayo yanaweza kuchangia lakini hili Jambo tusiliangalie kwa upande mmoja tu wanaume, nazani na wanawake wanajambo la kufanya kabla ya kwenda kwa mwamposa na kufunga kwa maombi,au kuhamua kumtongoza mwanaume is a terrible mistake
1. Jua kujipozisheni we unakaa ndani tu utatongozwaje?
2. Unapotoka penda kutembea peke yako Achana na kuambatana na kundi, mwanaume kukusoti kwenye kundi ni ngumu,
3. Kuwa simple kimuonekano usipende Sana kujiweka kibei mbaya maana hata wanaume wa bei mbaya hawatakagi wanawake wa bei mbaya.
4. Jua namna ya kumkataa mwanaume akueshimu na akubaliane na wewe kirahisi ,usimwambie mwanaume unamtu wakati hauko naye na huna pete mjibu mtu kiuwazi kwa kumwambia ukweli uliopo. Mfano najua unanihitaji lakin sijavutiwa kabisa kuwa na wewe kivyovyote, ukiweza mwambie na sababu ya kumkataa.ukimaliza kaa kimya ondoka Usipayuke, kuwa siriazi na stable chunga kabisa kutukana au kutoa maneno ya zarau.usijibu tena kitu chochote iwe kwenye simu au kawaida.
5.Tambua unachotaka ukivaa kiuni utavutia wauni, ukivaa kiheshima,(elewa kuvaa kieshima siyo kuvaa kiumama jua namna ya kutemple na age yako) utavutia permanent and long relationship
6.Sahau yaliyopita kila mtu anastori tofafauti defence mechanism zinazotokana na mahusiano yaliyopita itakukwamisha Sana,yale mambo ya kusema wanaume wote ni Sawa haitasaidi chochote
7.Achana na inferiority complex ,hii ni Ile kuona MTU anayekutongoza anakuzarau,au anajiskia au we siyo kitu kwake hii itakukwamisha sana.kama humwamini mpe muda mnyime mapemzi msikilize
8. Epuka kuongea vitu sensitive mbele za wanaume hata kama unaujasiri kiasi gani,hata kama ni kiutani usiongee maneno machafu mbele ya wanaume mtacheka mtafurahi lakin ashakuvua vyeo
9. Kama wewe ni pisi Kali na kwa bahati mbaya au nzur ukagundua tembea na point no 3,5 na kama umempenda mtu na akakutongoza usikae Na Ile anamamuzi akiniacha mi ntatongozwa na wengine ni kweli atakuja ila anaweza kuja shetani
10. Chunga maneno ya kushujaa kutoka kwenye kinywa chako kumbuka kila neno linalotoka kwenye kinywa chako lina ku grade
11. Wana endeleeni na point zingine mnazoona zinawakwamisha kuchukuwa hatua ya kutongoza kutoka kwa lady's