Times Up! Hadji, Nyoni and Mtasiwa must go Now!

Naona povu linawatoka na hamuoni wala hamsikii, mkiambiwa tuonesheni kipi ambacho Kikwete hajafanya zaidi? hamna.

Sisi tunaona tuzo za nje, za Uongozi bora, report za nje za uchumi kukuwa kwa kasi. Mabarabara ndio kama ujuavyo, nchi ya kwanza katika Afrika yenye miradi mingi ya barabara za lami kwa sasa. Mashule ndio hayo, zaidi ya elfu nne kwa miaka minne. Demokrasia ndio hiyo, hata waliosusa wanakwenda kupata juisi Ikulu. Madaktari ndio hao ingawa kisheria hawamo katika watu wanaoruhusiwa kugoma lakini hawakula virungu.

Mpewe nini Watanzania minority mnaolialia kila saa. Nna uhakika angekuwa wa tabaka fulani huyo, haaaaaaa, angekuwa tende kwa gahwa. Na wanao msema sema hovyo humu bila mantiki wala takwimu ni wale wale "minority", sisi tunajuwa na nyinyi mnajuwa! Bisheni na hilo.

Lakini siwashangai sana historia inaonesha siku zote "minorities" huwa wanapenda kudeka, na mmempata Kikwete anajuwa kudekeza, Mshukuru kwa sana tu.

CCK ingekuwa imewahi kusajiliwa pengine na wao wangepata juisi, lakini wasikate tamaa, wamuombe tu Kikwete kuonana nae, hatowakatalia, hata waliomsusa kawakubalia itakuwa nyie?

My dear hakuna povu, sanasana mbegu tu zinadongoka na baridi hii.............. next!!:nerd:hayo ya CCK sasa unatafuta bifu na MMM maana alikuja na CCJ, sasa CCK next year CCL mwisho atafika CCM (J,K,L,M,N,O..............)
 
If the doctors are aggrieved because the minister for health out of ignorance mentioned that the INTERNS were not qualified doctors that in itself does not qualify to be the spark that ignited the doctors' strike because he mentioned it out of ignorance!!Even if the permanent secretary castigated them for their unfrindliness towards each other given their historical perspective that truth could not also warrant their downing their tools and letting poor wananchi die !! The doctors have made their point and the majority of the poulation is behind them ,now is high time they came back to work as a sign of caring for the suffering wananchi and not as a sign of giving in to the government's high handedness.

Mkuu kiswahili kinawezekana pia

ila kukujibu tu, watu hawagomi sababu ya mtu kuita fulani vile, au ati nyoni was aggressive.............. learn to learn and learn to ask, and then learn to read, and finally learn to find the truth kabla hujaweka assumptions zako

wee na umri wako unaamini madaktari wanaweza kugoma simply because interns hawajaitwa Drs.??

we have some deeeeeeeeeeeep shit to dig
 
Serikali lazima itambue kwamba suala la udaktari kuwa wito limepitwa na wakati, hatupo katika ujamaa tena. Hivi sasa udaktari ni ajira na ni profession. Ili madaktari wawe na moyo katika kazi zao, lazima hii mind set kwa upande wa serikali ibadilike kwanza. Hakuna kiongozi hata mmoja anaenda kutibiwa au anaepeleka familia yake kupata matibabu kwa madaktari wito, bali kwa madktari ajira na madaktari profession.
 
Serikali lazima itambue kwamba suala la udaktari kuwa wito limepitwa na wakati, hatupo katika ujamaa tena. Hivi sasa udaktari ni ajira na ni profession. Ili madaktari wawe na moyo katika kazi zao, lazima hii mind set kwa upande wa serikali ibadilike kwanza. Hakuna kiongozi hata mmoja anaenda kutibiwa au anaepeleka familia yake kupata matibabu kwa madaktari wito, bali kwa madktari ajira na madaktari profession.
Thanks

Kama mtu anaambiwa akiwa na stress asiendeshe gari, inakuaje mtu huyohuyo na stress zake atibu watu??? which one ina madhara zaidi?
 
Wewe unafikiri hao madaktari uchwara wana maana sana? ndio maana mimi nasema hao madaktari uchwara, madaktari wasio uchwara hawajagoma. Hao wanatafuta sababu kila namna hata hiyo pia ni sababu wameipata siwashangai kabisa.

Anajuwa namtafuta, ingawa anajidai kubana kimya lakini "message delivered".
unawashwa wewe sasa
 
Hapa umeongea mkuu... kuondoka kwao siyo suluhu ya tatizo lililo! Tukumbuke kuwa hawa viongozi wa sasa siyo kwamba wao ndio wametengeneza hii structure ya wizara ya afya iliyopo. Kila kitu kilikuwepo, they have just taken over..they are unlucky sababu haya mambo yameibuka kipindi wao wakiwa ndio viongozi wa wizara husika. Yangeweza kumkuta yeyote ambaye angekuwa anahold office kipindi hiki. Tuwape muda, hili suala especially la miashahara na posho, linaaffect serikali yote kwa ujumla! Imagine leo doctorz wanalia unawaongezea wanachotaka...what do u expect? kesho waalimu watalia, wahasibu watalia, wakandarasi watalia na hata wahudumu!! Chamuhimu ni tuwape muda viongozi husika...hope watafika pazuri na pande zote mbili zitaelewana!
hapo kwenye blue ninachukizwa sana na hayo maneno.
Mtu anaomba uongozi akipewa then mambo yakimshinda anaanza kulaumu mfumo kama unajua mfumo mbovu kwa nini haurekebishwi? Jibu ni moja tu leadership incompentence.
We Tanzanians are tired of this behaviour of blaming system while nothing is/was/has been done to change it. What we want now is ccm must die/go perhaps we will have better Tanzania.
 
Naona povu linawatoka na hamuoni wala hamsikii, mkiambiwa tuonesheni kipi ambacho Kikwete hajafanya zaidi? hamna.Sisi tunaona tuzo za nje, za Uongozi bora, report za nje za uchumi kukuwa kwa kasi. Mabarabara ndio kama ujuavyo, nchi ya kwanza katika Afrika yenye miradi mingi ya barabara za lami kwa sasa. Mashule ndio hayo, zaidi ya elfu nne kwa miaka minne. Demokrasia ndio hiyo, hata waliosusa wanakwenda kupata juisi Ikulu. Madaktari ndio hao ingawa kisheria hawamo katika watu wanaoruhusiwa kugoma lakini hawakula virungu.Mpewe nini Watanzania minority mnaolialia kila saa. Nna uhakika angekuwa wa tabaka fulani huyo, haaaaaaa, angekuwa tende kwa gahwa. Na wanao msema sema hovyo humu bila mantiki wala takwimu ni wale wale "minority", sisi tunajuwa na nyinyi mnajuwa! Bisheni na hilo.Lakini siwashangai sana historia inaonesha siku zote "minorities" huwa wanapenda kudeka, na mmempata Kikwete anajuwa kudekeza, Mshukuru kwa sana tu. CCK ingekuwa imewahi kusajiliwa pengine na wao wangepata juisi, lakini wasikate tamaa, wamuombe tu Kikwete kuonana nae, hatowakatalia, hata waliomsusa kawakubalia itakuwa nyie?
Nachukia sana mtu anayejisikia vizuri kwa tuzo zisizokuwa na tija yoyote eti nje wametoa sisi hatuna macho mbona hatuoni huo uchumi unaokua? Tujirekebishe let us face reality only by this way we will be able to tackle our problems.
 
Ukweli wa hali sio tu wajiuzulu tu bali wawajibike kwa kusababisha vifo vya watanzania...
 
Kinachoendelea nchini mwetu ni matokeo ya kuwaachia mamlaka makubwa wanasiasa ambao hawana msuli wa huruma na aibu katika kuvimbisha matumbo yao. Tujitahidi kuongeza mijadala ya namna hii maana wananchi wanaanza kuona uchafu wa viongozi wao, na lazima baadae nchi irudi mikono mwa wapiga kura. WATASHIKA ADABU WOTE WANAOTUYUMBISHA SASA.
 
Moelex karibu buddy!

Hili la wabunge na posho ni jambo tunaloweza kupambana nalo lakini ni gumu kidogo kwa sababu linategemea kwa asilimia mia mojq wabunge wa CCM. Hili la hawa jamaa naamini linaweza kushughulikiwa kwa urahisi na kwa haraka.
Hili hasa ndilo linalosababisha hilo jingine, maana hili linaonyesha watanzania hatugawani "umasiki" wa nchi yetu. Hivyo nashauri turekebishe yote kwa pamoja.​
 
nashawishika kusema hakuna option nyingine ispokuwa kwa hawa watatu kujipima na kujiondoa wenyewe.hali imeanza kuwa tete ukizingatia maspecialists wa muhimbili wameungana na "bwana Ulimboka"
 
Kwa, Ndugu wana JF na kwa yeyote anayehusika.

Mimi ni kijana mchapa kazi, Mimi naijua taaluma ya udaktari vizuri kwa kuwa mimi pia ni Dr. Hakika nina kila kigezo ambacho mtu anayetakiwa kumbadili B.Nyoni anatakiwa awe navyo.

Nimeona watu wakiwazungumzia watu fulanifulani, lakini nilipojipima nao, naona nimewazidi katika kila nyanja. Hivyo basi ninatoa rai kwa Mh. Raisi, aniteue mimi bila kusita ili niweze kuwa katibu mkuu wa wizara ya afya Tanzania.
 
kuwa na taaluma ya udaktari peke yake hakutoshi kukufanya kuwa katibu mkuu mzuri wa wizara ya afya.Tupe vigezo vingine vinavyokufanya uamini kuwa unafaa kuliko wengine.id yako inaonyesha wewe ni mgonjwa,halafu unataka kazi nyeti kama hiyo?
 
Wala hapahitajiki Daktari kuwa Katibu Mkuu! Anahitajika mtu mwenye uwezo wa kuongoza; hatutaki kurundika madaktari maofisini!
 
Wala hapahitajiki Daktari kuwa Katibu Mkuu! Anahitajika mtu mwenye uwezo wa kuongoza; hatutaki kurundika madaktari maofisini!

Wako wapi mkuu hao watu? nafikiri tuongeze monitoring system za viongozi kwasababu wengi wao ni walafi tu..

Namkumbuka dr. deo mtasiwa alipokuwa jiji alikuwa kijana mzalendo sana na anapenda kazi lakini alipopandishwa cheo akaanza deals..

wako wapi hao? ukimuona leo mwanaharakati kama tundu lakini mpe cheo..lol..
 
Back
Top Bottom