tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Jamaa wanapiga mapini ya ukweli sana, Antivirus inagongwa kama kawa.
Hawa vinega nao....hivi kwanza kwa nini wanajiita Vinega?
Hii nayo ni thread!upupu mtupu ptuuu!
Hawa vinega nao....hivi kwanza kwa nini wanajiita Vinega?
Vinega wa mikakati clouds hamlali mnamuota sugu na huo mwanzo hadi mikoa yote wawajue tunaweka wazi
kweli wewe bandika bandua.
afu anaonekana ni dj wa magamba radio!
Vinega nawakubali sana Sugu na vinega wanaleta mapinduzi ya mziki Tanzania ruge kaa chonjo mlete hadi jay z tutawafunikaaaaaaaaa
Wewe ni kinega?
Jamaa wanapiga mapini ya ukweli sana, Antivirus inagongwa kama kawa.
Hii nayo ni thread!upupu mtupu ptuuu!