Times fm{100.5} na Antivirus ya Vinega

kitaa kimenuka wafu fm nao wanahaha hadi wanatafuta wasanii wakongwe kwenye shoo yao wamefua na huyo dmx haji ng'oooo hahaha huyo ndo sugu mnataka kumfanya diamond na barnabas ndo ma legend hahaha
 
Wiki ya jana nlikuwa tunduru,kuna vibanda kama vitano nlisikia wanagonga mixtape ya anti vrs dah! Tena wanalipenda sana tamko la Ruge teh teh teh! Vinega ni noma! Safi sana kwa kuwafungua
 
Vinega nawakubali sana Sugu na vinega wanaleta mapinduzi ya mziki Tanzania ruge kaa chonjo mlete hadi jay z tutawafunikaaaaaaaaa
 
Vinega nawakubali sana Sugu na vinega wanaleta mapinduzi ya mziki Tanzania ruge kaa chonjo mlete hadi jay z tutawafunikaaaaaaaaa

Ruge anahahaha sasa watu anaowapa complimentary wanaziuza wanasema wanakuja kwenye shoo ya vinega atajuta kumdhulumu sugu ishu ipo kwa jamii sasa antivirus talk of the town wanavyuo watakodi mabasi makubwa hadi ustawi
 
Ruge and CO. Aibu kwenu maana mmeshazoea kuwaibia wasanii wa kibongo ambao uwezo wao wa kufikiria ni mdogo.
Sasa wakati wa kuaibishwa ndio huu
 
Back
Top Bottom