Time travel na Time Machine ni nini ?

Kuweka hili suala kiuhalisia,

Kuna wazee wa miti shamba wanauwezo wakusafiri kiajabu zaidi, anaweza fanya mambo yake kisha akachora mstari chini then akiuvuka ule mstari anajikuta yuko sehem nyingine, means amesafiri from point A to point B within a second
So, kama speed ni kubwa anaweza safiri kwenda the same place ila akafika jana yake au kesho yake ikiwa still nyie mliyeko katika hiyo sehem bado mko katika siku anayosafiri
So anakuwa amesafiri back in time or into the future
 
Du hapa kidogo naomba nifufue mada, ivi mfano nikapata time kachene nikaenda past alafu nikamuua baba yangu kabla mama ajapata mimba ya kunizaa Mimi nini kitatokea?
 
Du hapa kidogo naomba nifufue mada, ivi mfano nikapata time kachene nikaenda past alafu nikamuua baba yangu kabla mama ajapata mimba ya kunizaa Mimi nini kitatokea?
Utaendelea kuwepo hautapotea sababu unaporudi nyuma haimaanishi upo ndani ya muda wako ni umehamia ndani ya muda mwingine kabisa ambao upo parallel na wako!!.. Utakachokuwa umefanya ni kudisturb muda wao tu lakini existance yako itabaki pale pale!.
Kasome The Grandfather paradox na The Bootstrap Paradox
 
Its strictly prohibited to travel back in time, kwa sababu binadam tutafanya mambo ya ajabu sana

Mfano unaonaje mtu akarudi nyuma na muda akaenda kuwauwa mitume wote.

Ninachoweza fikili kama man kind wataweza ku crack hii puzzle basi hata uki move back in time the time its self will not allow you to disturb the events.

But travel to the future is possible ukiweza kucross kwenye at the fronts of black hole,it will be ur ticket to future
Au warudi wamuue Lucifer aliyeleta matatizo duniani lakini nimesoma kwamba ukisafiri kwa realm nyingine kurudi nyuma Huwezi na huruhusiwi kubadilisha chochote turudi nyuma tumzuie Hitler kuanzisha vita vya dunia
 
Au warudi wamuue Lucifer aliyeleta matatizo duniani lakini nimesoma kwamba ukisafiri kwa realm nyingine kurudi nyuma Huwezi na huruhusiwi kubadilisha chochote turudi nyuma tumzuie Hitler kuanzisha vita vya dunia
Wewe hii mada yako imejadiliwa kupitia Hitler's murder paradox ukirudi kumzuia hitler utakachofanya ni kucontradict present na past yako sababu present inaitegemea sana past kudetermine kinachoendelea na hitler ni mchango mkubwa sana kwenye present ina maana ukimuua, watoto na all that happened kwenye present yake itajicontradict na all that happened kwenye present yako!..
Ingawa kwenye time yangu hakuna kitakachojicontradict as there is parallel time factor!. Kuna mmoja huko juu kaongelea ishu ya kustop muda haimaanishi utastop ulimwengu wote ndio ishu kama hiyo!.
 
Muda, kama nilivyosema hapo juu, si mmoja kwa matukio yote.

Hili si wazo jepesi kulielewa.

Muda unategemea na mwendokasi wa kitu, pamoja na nguvu za uvutano.

Kitu chenye mwendokasi mkubwa, kwa sababu ya mwendokasi huo, kinapunguza kasi ya kipita kwa muda.

Kitu ambacho kipo katika nguvu ya uvutano kubwa sana (kwa mfano karibu na nyota kama jua, au karinu na "black hole") kinapunguza kasi ya kipita kwa musa.

Kujibu swali lako, kusimamisha muda ni kusimamisha matukio yote kwa kile kitu kilichosimamisha muda, lakini hilo halina maana matukio yote yatasimama kwa ulimwengu wote. Matukio yataendelea ulimwenguni, lakini kwa kile kitu kilichosimamisha muda, muda utakuwa umesimama, na hivyo matukio yote yatasimama.

Nikirudi kwenye mfano wa mapacha wawili waliozaliwa siku moja, halafu walipofika miaka kumi Kulwa akapanda starship iliyokwenda kwa kasi ya mwanga (ukienda kwa kasi ya mwanga unasimamisha muda, hii haiwezekani kama nilivyoonyesha hapo juu ila natumia kama mfano kujibu seali lako). So Kulwa akisafiri kwa muda wa miaka 50 kwa mujibu wa Doto, alirudi duniani atamkuta Doto ana miaka 60 wakati Kulwa atakuwa na miaka ile ile 10.

Kwa Kulwa, matukio yote yatasimama. Kwa Doto na wengine wote duniani, matukio yataendelea kama kawaida.
Mkuu kwenye huu mfano wako kuna kitu nashindwa kuelewa..
Huyu kulwa anapopanda starship na kusafiri kwa kasi ya mwanga anarudi na kumkuta dotto ana miaka 60 ilhali yeye yupo vilevile kama alivyoondoka
Ina maana miaka kwa hiyo miaka 50 anapokuwa kwenye starship mwili wake unakua haufanyi kazi?(freeze).. Kwamba katika hiyo safari yake hakuna atakachoona huko anapokwenda sababu muda umesimama?
hata moyo utakuwa haudundi na viungo vyote mwilini vinasimama kwa miaka 50?
 
Its strictly prohibited to travel back in time, kwa sababu binadam tutafanya mambo ya ajabu sana

Mfano unaonaje mtu akarudi nyuma na muda akaenda kuwauwa mitume wote.

Ninachoweza fikili kama man kind wataweza ku crack hii puzzle basi hata uki move back in time the time its self will not allow you to disturb the events.

But travel to the future is possible ukiweza kucross kwenye at the fronts of black hole,it will be ur ticket to future
Mkuu how is that possible to cross the black hole so as to go future??
Maelezo kidogo hapa japo nimefufua mada ya mda mrefu ila imenivutia
 
Du hapa kidogo naomba nifufue mada, ivi mfano nikapata time kachene nikaenda past alafu nikamuua baba yangu kabla mama ajapata mimba ya kunizaa Mimi nini kitatokea?
Dah swali lako ni hatr mkuu ila ninachowaza mimi ni kwamba vitu vilivopita haviwezi ku be affected ila utawez kurud na ku observe pekee and not destroy them
 
Utaendelea kuwepo hautapotea sababu unaporudi nyuma haimaanishi upo ndani ya muda wako ni umehamia ndani ya muda mwingine kabisa ambao upo parallel na wako!!.. Utakachokuwa umefanya ni kudisturb muda wao tu lakini existance yako itabaki pale pale!.
Kasome The Grandfather paradox na The Bootstrap Paradox
Tunawaza pamoja mkuu
 
Historia yako itabadilika unaweza ukaruɗi huku ukajukuta umegeuka kuwa chura..
Dah jf ni patam kuna watu mnawaza nje ya box san na ndo inatakiwa iwe ivo kwan hapo ndo unatumia uwezo na akil yako kwa kiwango cha rami (this is serious nt joke)
 
Mkuu kwenye huu mfano wako kuna kitu nashindwa kuelewa..
Huyu kulwa anapopanda starship na kusafiri kwa kasi ya mwanga anarudi na kumkuta dotto ana miaka 60 ilhali yeye yupo vilevile kama alivyoondoka
Ina maana miaka kwa hiyo miaka 50 anapokuwa kwenye starship mwili wake unakua haufanyi kazi?(freeze).. Kwamba katika hiyo safari yake hakuna atakachoona huko anapokwenda sababu muda umesimama?
hata moyo utakuwa haudundi na viungo vyote mwilini vinasimama kwa miaka 50?
Kwa mujibu wa relativity, kwa huyo Kulwa, kila kitu kitakuwa cha kawaida, yani ataona muda unaenda kama kawaida.

Ukichukua mfano extreme wa ku freeze muda ni vigumu kueleweka na hauwezekani kufikiwa kwa vitu vyenye mass (akizidi kukaribia speed of light, ndivyo uzito wake unavyozidi kukaribia infinity). Mfano mzuri zaidi ni wa Kulwa ku age kwa maiaka kama 10 wakati Doto ana age kwa miaka 60.

Mfano huu unapigia mstari ukweli kwamba:-

1.Muda ni relative (Relativity Theory ya Albert Einstein)
2. Speed inapunguza kupita kwa muda kwa aliye katika chombo kinachokimbia kwa mujibu wa macho ya mtu aliyesimama ambaye hakimbii.
3.Kwa mtu aliye katika chombo kinachokimbia, muda utakuwa unaonekana kupita kama kawaida
4. Kinadharia, ukiweza kufikia speed of light unausimamisha muda
5. Kiukweli huwezi kufikia speed of light, unavyozidi kuikaribia uzito wako unazidi kukaribia infinity
6. Speed inaongeza uzito
 
Back
Top Bottom