dist111
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 3,698
- 3,084
Kuweka hili suala kiuhalisia,
Kuna wazee wa miti shamba wanauwezo wakusafiri kiajabu zaidi, anaweza fanya mambo yake kisha akachora mstari chini then akiuvuka ule mstari anajikuta yuko sehem nyingine, means amesafiri from point A to point B within a second
So, kama speed ni kubwa anaweza safiri kwenda the same place ila akafika jana yake au kesho yake ikiwa still nyie mliyeko katika hiyo sehem bado mko katika siku anayosafiri
So anakuwa amesafiri back in time or into the future
Kuna wazee wa miti shamba wanauwezo wakusafiri kiajabu zaidi, anaweza fanya mambo yake kisha akachora mstari chini then akiuvuka ule mstari anajikuta yuko sehem nyingine, means amesafiri from point A to point B within a second
So, kama speed ni kubwa anaweza safiri kwenda the same place ila akafika jana yake au kesho yake ikiwa still nyie mliyeko katika hiyo sehem bado mko katika siku anayosafiri
So anakuwa amesafiri back in time or into the future