Time travel na Time Machine ni nini ?

Kwa mujibu wa relativity, kwa huyo Kulwa, kila kitu kitakuwa cha kawaida, yani ataona muda unaenda kama kawaida.

Ukichukua mfano extreme wa ku freeze muda ni vigumu kueleweka na hauwezekani kufikiwa kwa vitu vyenye mass (akizidi kukaribia speed of light, ndivyo uzito wake unavyozidi kukaribia infinity). Mfano mzuri zaidi ni wa Kulwa ku age kwa maiaka kama 10 wakati Doto ana age kwa miaka 60.

Mfano huu unapigia mstari ukweli kwamba:-

1.Muda ni relative (Relativity Theory ya Albert Einstein)
2. Speed inapunguza kupita kwa muda kwa aliye katika chombo kinachokimbia kwa mujibu wa macho ya mtu aliyesimama ambaye hakimbii.
3.Kwa mtu aliye katika chombo kinachokimbia, muda utakuwa unaonekana kupita kama kawaida
4. Kinadharia, ukiweza kufikia speed of light unausimamisha muda
5. Kiukweli huwezi kufikia speed of light, unavyozidi kuikaribia uzito wako unazidi kukaribia infinity
6. Speed inaongeza uzito
Mkuu hii namba 6 kama sijakupata hivi
Speed inaongeza uzito au inapunguza uzito? jinsi unavyoikaribia speed of light uzito nao si unapungua?
 
Mkuu hii namba 6 kama sijakupata hivi
Speed inaongeza uzito au inapunguza uzito? jinsi unavyoikaribia speed of light uzito nao si unapungua?
Soma post namba 98 nimelijibu swali hili kwa kutumia equation ya Einstein ya e=mc squared.

Unavyokaribia speed of light uzito unazidi kuongezeka. Ndiyo maana huwezi kuifikia speed of light. Ukiifikia speed of light, kinadharia, hata kama uzito wako uko mdogo kiasi gani, uzito wako at the speed of light utakuwa infinity. Hii ndiyo sababu hatujaweza kuifikia speed of light (na kuusimamisha muda).

Ingekuwa unavyozidisha soeed na uzito unapungua, tungekuwa tushapata vyombo vya kufikia soeed of light (na kusimamisha muda).
 
Soma post namba 98 nimelijibu swali hili kwa kutumia equation ya Einstein ya e=mc squared.

Unavyokaribia speed of light uzito unazidi kuongezeka. Ndiyo maana huwezi kuifikia speed of light. Ukiifikia speed of light, kinadharia, hata kama uzito wako uko mdogo kiasi gani, uzito wako at the speed of light utakuwa infinity. Hii ndiyo sababu hatujaweza kuifikia speed of light (na kuusimamisha muda).

Ingekuwa unavyozidisha soeed na uzito unapungua, tungekuwa tushapata vyombo vya kufikia soeed of light (na kusimamisha muda).
OK tuachane na speed ya light ambayo IPO constant kwenye iyo equation hapa tu assume c = v ambapo tutapata E=MV² sasa hapa energy kwenye gari mfano ni constant speed ikizidi mass inapungua sasa tufanye tuna start from rest mpaka 3*10^7 speed huku energy ikiwa inaweza Ku power kitu kufikia hapo unataka kunambia mass itaongezeka?

Au just kwasababu Einstein Ali purpose ivo ndio tumkubalie?
 
OK tuachane na speed ya light ambayo IPO constant kwenye iyo equation hapa tu assume c = v ambapo tutapata E=MV² sasa hapa energy kwenye gari mfano ni constant speed ikizidi mass inapungua sasa tufanye tuna start from rest mpaka 3*10^7 speed huku energy ikiwa inaweza Ku power kitu kufikia hapo unataka kunambia mass itaongezeka?

Au just kwasababu Einstein Ali purpose ivo ndio tumkubalie?

Equation ni e=mc squared. C is a special constant. So do not use V instead of c.

It will be like trying to find the area of circle by substituting pi with 14/7. You will get wrong answers. Ndiyo maana unakuja na concept confusing kama constant speed ikizidi. Constant speed haizidi. Ikizidi inakuwa si constant tena. C is a constant. Haizidi wala haipungui.

Andika kwa hesabu kama nilivyofanya post namba 98.

Kuna sehemu najaribu kufuatilia ulivyoandika unachanganya " sasa hapa energy kwenye gari mfano ni constant speed ikizidi mass inapungua.."

Unaelewa kwamba mass ni energy na ndiyo maana ukizidisha energy (kuzidisha speed) mass nayo inazidi?

Soma zaidi hapa

Mass-Energy Equivalence - Physics Video by Brightstorm

"Mass-energy equivalence states that mass is concentrated energy. In his theory of special relativity Einstein formulated the equation E=mc^2. There is a tremendous amount of energy in mass. A 20g marble contains as much energy as a 500 kiloton hydrogen bomb, but this energy is very difficult to release.


Huwezi kuzidisha energy (kuzidisha speed) bila kuzidisha mass kwa sababu mass ni energy.
 
Equation ni e=mc squared. C is a special constant. So do not use V instead of c.

It will be like trying to find the area of circle by substituting pi with 14/7. You will get wrong answers. Ndiyobmaana unakuja na concept confusing kama constant soeed ikizidi. Constant speed haizidi. Ikizidi inakuwa si constant tena. C is a constant. Haizidi wala haipungui.

Andika kwa hesabu kama nilivyofanya post namba 98.

Kuna sehemu najaribu kufuatilia ulivyoandika unachanganya " sasa hapa energy kwenye gari mfano ni constant speed ikizidi mass inapungua.."

Unaelewa kwamba mass ni energy na ndiyo maana ukizidisha energy (kuzidisha speed) mass nayo inazidi?

Soma zaidi hapa

Mass-Energy Equivalence - Physics Video by Brightstorm

"Mass-energy equivalence states that mass is concentrated energy. In his theory of special relativity Einstein formulated the equation E=mc^2. There is a tremendous amount of energy in mass. A 20g marble contains as much energy as a 500 kiloton hydrogen bomb, but this energy is very difficult to release.


Huwezi kuzidisha energy (kuzidisha speed) bila kuzidisha mass kwa sababu mass ni energy.
Dah..
Haya mambo magumu sana
ila kidogo kidogo naelewa sasa..

Kwahiyo photons zina mass ambayo ni infinity
 
Dah..
Haya mambo magumu sana
ila kidogo kidogo naelewa sasa..

Kwahiyo photons zina mass ambayo ni infinity

Swali zuri sana.

To clarify hii ninayoongelea ni "rest mass". Photons hazina rest mass. Heisenberg's Uncertainty Principle inatuonesha kwamba tunavyozidi kutaka kupima position ya photon tujue ilipo tunazidi kutokujua momentum yake, na tunavyozidi kujua momentum tunazidi kutokujua position.

Vitu kama photons havi exist hapa au pale, hivyo havina rest mass (kwa sababu havipo hapa au pale uvipime rest mass) vina exist katika wave particle probability. Kwa hiyo vinakuwa 90% hapa na 10% pale au 80% hapa na 20% pale kwa wakati mmoja huohuo.

Kumbuka kwa kitu kama photon hakuna wakati. Past, present na future zote zipo pamoja. Kwa hivyo si vigumu kuwa sehemu mbili kwa wakati mmoja.

Is a photon really massless?

Is a photon really massless?



This is not the case. One way to think of mass is as nothing more than a convenient name for rest energy.Photons are indeed massless and thus have zero rest energy. This is not an issue because according to special relativity, they do not come with a rest frame.
 
Back
Top Bottom