mchukiaufisadi
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 546
- 193
Ndugu zangu nimeibiwa Tshs. 10,000 na Tigo-Pesa. Nilitaka kununua umeme wa LUKU kwa njia ya Tigo-pesa. Nikafuata taratibu zote wakanipa na reference number. Baada hapo sikupokea chochote. Nimejaribu kuwa pigia kwa 0713800800 majibu ya muhudumu ni mabaya mno, kwa ukali akanijibu piga 150. Nimekuwa nikipiga 150 inaita haipokelewi kwa zaidd ya dakika 15 zaidi ya mara 7 toka juzi.
Naomba msaada wa nini cha kufanya nikomboe pesa zangu. Kwenda ofisini kwao itakuwa ni sawa na hasara maana mafuta ni zaidi ya lita 7.
Please help
Naomba msaada wa nini cha kufanya nikomboe pesa zangu. Kwenda ofisini kwao itakuwa ni sawa na hasara maana mafuta ni zaidi ya lita 7.
Please help