Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Seriously,...
maisha yamepanda kiasi hiki?
Hadi tiGO mtandao ulio kuwa kimbilio la maskini saivi
kupiga simu kwa sekunde ni Tsh.3.25?
Kwanini hamtoi matangazo kwamba gharama zimepanda?
kwanini muendelee kusema "tumerudi tena" au maana yake ni
mmerudi kutu nyanyasa?
Mbona hampokei simu?
Acheni wizi bana,sio fair hata kidogo.
maisha yamepanda kiasi hiki?
Hadi tiGO mtandao ulio kuwa kimbilio la maskini saivi
kupiga simu kwa sekunde ni Tsh.3.25?
Kwanini hamtoi matangazo kwamba gharama zimepanda?
kwanini muendelee kusema "tumerudi tena" au maana yake ni
mmerudi kutu nyanyasa?
Mbona hampokei simu?
Acheni wizi bana,sio fair hata kidogo.