GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Ni wazi kuwa hili tatizo ni kubwa kuliko tunavyolichukulia, hii inasababisha thread za hili
Kuwa nyingi. Si hapa Jf tu, tafuta kwenye Blog mbalimbali utagundua ukubwa wa
matatizo haya.
Binafsi napendekeza hii thead iwe sehemu muafaka ya watu kuleta wanayoyafahamu
juu ya Tiba za Nguvu za kiume na maumbile madogo kama ipo dawa.
Zipo dawa nyingi za tatizo hili, kwa wale ambao wamewahi kutumia dawa mbalimbali
si vibaya wakatuletea majina ya dawa hizo jinsi zinavyofanyakazi, upatikanaji wake n.k
Binafsi nazifahamu dawa kama - RIJALI, KIFARU, KOMBORA, MAAJUNI, SUPER SHAFT,
KIBOKO, SIMBA n.k. Ni majina yanayovutia na kusisimua kwa mtumiaji lakini sifahamu
utendaji wa dawa hizo.
Pia namfahamu mama mmoja ambaye ni mtaalamu wa tiba za asili huyu mama alimtibu
jamaa mmoja ambaye alikuwa hafanyi kazi kabisa (Jongoo hapandi mtungi) namfahamu
na ni tukio ambalo nina ushahidi nalo (kama una tatizo hilo ni PM nikufahamishe anapatikana
wapi huyo mama)
Pia yuko Bw.Mdogo fulani kama miaka 20 au 24 hivi yeye alikuwa nafanya MASTURBATION
Kwa muda mrefu matatizo aliyoyapata ni macho, pia nanihii ikarudi na kuwa ndogo sana pia
ikawa haisimami kabisa. Akapelekwa Muhimbili ambako hakupata Tiba ya uhakika lakini
Jamaa Akatafuta dawa ya asili ambayo ilichanganywa na asali. Dogo hali yake imerudi kawaida
Namtafuta yule Jamaa nina uhakika ndani ya Wiki moja nitakuwa nimempata na kuileta hapa
Jukwaani aina ya dawa aliyoitumia na alikoitoa.
Haya wadau naomba michango yenu !
Kuwa nyingi. Si hapa Jf tu, tafuta kwenye Blog mbalimbali utagundua ukubwa wa
matatizo haya.
Binafsi napendekeza hii thead iwe sehemu muafaka ya watu kuleta wanayoyafahamu
juu ya Tiba za Nguvu za kiume na maumbile madogo kama ipo dawa.
Zipo dawa nyingi za tatizo hili, kwa wale ambao wamewahi kutumia dawa mbalimbali
si vibaya wakatuletea majina ya dawa hizo jinsi zinavyofanyakazi, upatikanaji wake n.k
Binafsi nazifahamu dawa kama - RIJALI, KIFARU, KOMBORA, MAAJUNI, SUPER SHAFT,
KIBOKO, SIMBA n.k. Ni majina yanayovutia na kusisimua kwa mtumiaji lakini sifahamu
utendaji wa dawa hizo.
Pia namfahamu mama mmoja ambaye ni mtaalamu wa tiba za asili huyu mama alimtibu
jamaa mmoja ambaye alikuwa hafanyi kazi kabisa (Jongoo hapandi mtungi) namfahamu
na ni tukio ambalo nina ushahidi nalo (kama una tatizo hilo ni PM nikufahamishe anapatikana
wapi huyo mama)
Pia yuko Bw.Mdogo fulani kama miaka 20 au 24 hivi yeye alikuwa nafanya MASTURBATION
Kwa muda mrefu matatizo aliyoyapata ni macho, pia nanihii ikarudi na kuwa ndogo sana pia
ikawa haisimami kabisa. Akapelekwa Muhimbili ambako hakupata Tiba ya uhakika lakini
Jamaa Akatafuta dawa ya asili ambayo ilichanganywa na asali. Dogo hali yake imerudi kawaida
Namtafuta yule Jamaa nina uhakika ndani ya Wiki moja nitakuwa nimempata na kuileta hapa
Jukwaani aina ya dawa aliyoitumia na alikoitoa.
Haya wadau naomba michango yenu !