Kidotulotokordwak
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 286
- 43
Upo tanzania na unafanya kazi gan
Simba gani anapigwa?
So beautiful! Ila hongera sana!
simba wa rage kama nyoka wa kibisa!!
Hii nyumba si imeishajengwa? unataka ku-copy na ku-paste. Good luck lakini architect asikugundue.Ha ha haaaa!!! Itajengwa tu mkuu hata kama ikiwa bilioni 100...Maana waswahili wanasema kipandacho roho....
zomba tunaongelea nyumba ya kuishi na familia bwana!!hiyo yako ya kichoyo unaingia peke yako!!!!
Kila mtu na yake, hakuna hapo sijui baba wala mama wala mtoto.
Tumetoka kwa udongo, tutarudi kwa udongo - Remy Ongala.
450m zinatosha kuikamilisha. Ni nyumba ya kawaida, lighting na finishing ndo vinaifanya ichanganye tu. Lakini, inafaa maeneo ya baridi na si Dar.Andaa si chini ya billion moja.
450m zinatosha kuikamilisha. Ni nyumba ya kawaida, lighting na finishing ndo vinaifanya ichanganye tu. Lakini, inafaa maeneo ya baridi na si Dar.
kwani nini manapenda kukopy text yoote then oo! mama! kujaza kurasa.oh!maaama!
Andaa si chini ya billion moja.
Hiyo hata vigae peke vya hiyo nyumba haitoshi mkuu! Hiyo labda inaweza tosha furnishing za sebuleni tu.Milion 50 tu inatosha mkuu!!
asikutishe mtu maste mbona mimi yangu natarajia izidi hizo gharama.
na haka kananikuna kweli!!