Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Mwaka jana December, Mwanahalisi (Kubenea) waliandika hii habari na leo hii tunaweza pia kuijadili kuangalia utafiti wa Mwanahalisi. Hili gazeti nimekuwa nalisoma na kuwaamini nusunusu maana wanachoandika huwa ni kweli ila lazima WAONGEZE CHUMVI . Tatizo ni kujua hii chumvi iko wapi. Tujikumbushe:
Kibaya zaidi ni kuwa, Kubenea ambaye ni member wa JF, na Mwakalinga akiwa member wa JF, alishindwa hata kumuandikia EMAIL kumuuliza kipi ni kweli katika haya. Walau kuna mengine yangelirekebishwa na kuacha makosa ya waziwazi kama ya NI MWANAFUNZI wakati ukweli jamaa alishamaliza siku nyingi sana.
From: Ubunge wa Mwakyembe shakani | Gazeti la MwanaHalisi
naona umejaza si kweli kibao,kwamba hamna la kweli hata moja wanaandika hawa watu au?