Kuna siku niliwahi kusimamishwa na polisi wa defender wasio na uniform na kuitaka niwaoneshe leseni yangu. Nikawaonesha ila bado wakaniambia kuwa pamoja na kwamba nina leseni niwaachie hela kidogo wana kiu. Sikufanya hivyo wakaniacha nikaenda. Swali ni je sheria ya usalama barabarani ya mwaka 1973 inawaruhusu hawa kufanya kazi hiyo?. Nimejaribu kusoma na kukutya kuwa polisi mwenye uniform ndiyo anaruhusiwa kukusimamisha kwa kosa lolote la barabara na hasa katika kutaka kuthibitisha kuwa wewe unaendesha ukiwa na leseni halali.
Kumekuwa na tabia kwa baadhi ya polisi wengi sana hata wale wenye uniform kuwasimamisha madereva na kuomba vitu kama leseni au kadi ya gari n.k. Kama umevisahau wanakuambia kuwa umetenda kosa na kutumia mwanya huo kukudai rushwa. Nimesoma sheria inaweka wazi kuwa ni kweli unatakiwa kutembea na document hizo ila kama umesahau unatakiwa kuthibitisha kwa polisi ndani ya siku tatu. Kwa maana hiyo Polisi wachukue namba ya gari na kukutaka ukawaoneshe hivyo vitu ndani ya siku tatu.
Swali ni je kuna uhalali wa polisi kung'ang'ania watu hata kama wana documents na wamezisahau?, japo nisingependa tuwe tunasahau.
Nimetoa section 77 ya sheria ili tuijadili kwa wale wanaokumbana na matatizo ya Police wenye hulka za KI-MANUMBA, wanapindisha sheria na kudidimiza integrity of the Police Force Tanzania.
THE ROAD TRAFFIC ACT, 1973
PART VI
ENFORCEMENT
77.-(1) Every person driving a motor vehicle or trailer on a road shall carry his driving licence and, on being so required by a police officer, produce it for examination:
Provided that a person shall not be convicted of an offence under this section by reason only of failure to carry or produce his driving licence, if he produces it to the police within the following three days at such police station within Tanganyika as may be specified by the police officer at the time its production was required
-(2)Notwithstanding the provisions of subsection (1) of this section, any person intending to drive a motor vehicle or trailer over the Tanganyika border shall carry his driving licence, the certificate of registration and the insurance certificate in respect of such motor vehicle of trailer and shall produce the same on demand to a POLICE OFFICER IN UNIFORM or customs officer before he is permitted to drive his motor vehicle, or trailer across the Tanganyika border.
-(3) The provisions of subsection (2) of this section shall not construed so as to limit the authority of a customs officer or any other officer to require the production of any other documents required to be produced by any other written law at any customs post or any other post of exit from Tanganyika.
Kwa sheria yote pitia link hapo chini.
http://www.uwaba.or.tz/30-1973.pdf
Kumekuwa na tabia kwa baadhi ya polisi wengi sana hata wale wenye uniform kuwasimamisha madereva na kuomba vitu kama leseni au kadi ya gari n.k. Kama umevisahau wanakuambia kuwa umetenda kosa na kutumia mwanya huo kukudai rushwa. Nimesoma sheria inaweka wazi kuwa ni kweli unatakiwa kutembea na document hizo ila kama umesahau unatakiwa kuthibitisha kwa polisi ndani ya siku tatu. Kwa maana hiyo Polisi wachukue namba ya gari na kukutaka ukawaoneshe hivyo vitu ndani ya siku tatu.
Swali ni je kuna uhalali wa polisi kung'ang'ania watu hata kama wana documents na wamezisahau?, japo nisingependa tuwe tunasahau.
Nimetoa section 77 ya sheria ili tuijadili kwa wale wanaokumbana na matatizo ya Police wenye hulka za KI-MANUMBA, wanapindisha sheria na kudidimiza integrity of the Police Force Tanzania.
THE ROAD TRAFFIC ACT, 1973
PART VI
ENFORCEMENT
77.-(1) Every person driving a motor vehicle or trailer on a road shall carry his driving licence and, on being so required by a police officer, produce it for examination:
Provided that a person shall not be convicted of an offence under this section by reason only of failure to carry or produce his driving licence, if he produces it to the police within the following three days at such police station within Tanganyika as may be specified by the police officer at the time its production was required
-(2)Notwithstanding the provisions of subsection (1) of this section, any person intending to drive a motor vehicle or trailer over the Tanganyika border shall carry his driving licence, the certificate of registration and the insurance certificate in respect of such motor vehicle of trailer and shall produce the same on demand to a POLICE OFFICER IN UNIFORM or customs officer before he is permitted to drive his motor vehicle, or trailer across the Tanganyika border.
-(3) The provisions of subsection (2) of this section shall not construed so as to limit the authority of a customs officer or any other officer to require the production of any other documents required to be produced by any other written law at any customs post or any other post of exit from Tanganyika.
Kwa sheria yote pitia link hapo chini.
http://www.uwaba.or.tz/30-1973.pdf