Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 449
- 1,009
Habari JF , baada ya kupata taarifa za kicho cha Rais wa Nambia Hage Geingob ,82 kwa masikitiko makubwa nliamua kupitia kipengere cha urais katika katiba yao .
Kwa kifupi uchanguzi wa haraka hautafanyika sababu ndani ya Mwaka mmoja kuna uchaguzi mkuu lakini ingekuwa kama ilivyotokea kwa JPM yaani kuna zaidi ya mwaka basi uchaguzi ungefanyika .
Uchaguzi Namibia ni Nov 2024 .
Kwa kifupi uchanguzi wa haraka hautafanyika sababu ndani ya Mwaka mmoja kuna uchaguzi mkuu lakini ingekuwa kama ilivyotokea kwa JPM yaani kuna zaidi ya mwaka basi uchaguzi ungefanyika .
Uchaguzi Namibia ni Nov 2024 .
- If a President dies, resigns or is removed from office in terms of this Constitution, the vacant office of President shall be filled for the unexpired period thereof as follows:
- if the vacancy occurs not more than one (1) year before the date on which Presidential elections are required to be held, the vacancy shall be filled in accordance with the provisions of Article 34;
- if the vacancy occurs more than one (1) year before the date on which Presidential elections are required to be held, an election for the President shall be held in accordance with the provisions of Article 28 within a period of ninety (90) days from the date on which the vacancy occurred, and pending such election the vacant office shall be filled in accordance with the provisions of Article 34.
-------article 34
Article 34 [Succession]
- If the office of President becomes vacant or if the President is otherwise unable to fulfil the duties of the office, the following persons shall in the order provided for in this paragraph act as President for the unexpired portion of the President's term of office or until the President is able to resume office, whichever is the earlier:
- the Prime Minister;
- the Deputy-Prime Minister;
- a person appointed by the Cabinet.
- Where it is regarded as necessary or expedient that a person deputise for the President because of a temporary absence from the country or because of pressure of work, the President shall be entitled to nominate any person enumerated in Paragraph (1) to deputise for him or her in respect of such specific occasions or such specific matters and for such specific periods as in his or her discretion may be considered wise and expedient, subject to consultation with the Cabinet.
Hivyo inapunguza matumizi yasiyo ya lazima wakati uchaguzi upo karibu na pia ina kuhitaji mpate kiongozi mnae mtaka haraka kama muda bado mrefu .
Siasa safi