Mkuu marekani haijapeleka ndege libya, nchi zilizopeleka ndege ni france, italy, denmark, uk qatar na uae.
Hapa ishu sio kumuacha Gadafi uwe raia wake, ishu ni kwamba kwa nini kule Ivory cost raia wanauliwa na majeshi ya Gagbo na hawa UN hawafanyi kama libya?
Originally Posted by Askari Kanzu:tuwekee hiyo the said "resolution" tuone
acha gadafi aondoke.mtu anaeua raia wake hafai kuwa madalakani
Again mkuu ukweli ni kuwa anayespear head hii operation ni France US wanatoa support mpaka aircraft carrier ya ufaransa ya Charles de Gaule itakapofika kwenye pwani ya Libya kwa sababu tayari walikuwa na destroyer kwenye pwani ya Libya as well as ss trafalgar ya UK.Ndugu yangu, America ndio organizer wa hii vita. Siwezi kusema kifalu ni cha France, bunduki ni za Uingereza etc.
Ninaposema Ndege za America ninamaanisha jeshi zima lililoenda kule yaani America na washirika wake.
Originally Posted by Askari Kanzu:
Nafikiri ni kipengele hiki cha UNSC Resolution 1973 (2011) ambacho kinaidhinisha kuyatwanga magari ya Gaddafi:
4. Authorizes Member States that have notified the Secretary-General, acting nationally or through regional organizations or arrangements, and acting in cooperation with the Secretary-General, to take all necessary measures, notwithstanding paragraph 9 of resolution 1970 (2011), to protect civilians and civilian populated areas under threat of attack in the Libyan Arab Jamahiriya, including Benghazi, while excluding a foreign occupation force of any form on any part of Libyan territory, and requests the Member States concerned to inform the Secretary-General immediately of the measures they take pursuant to the authorization conferred by this paragraph which shall be immediately reported to the Security Council;
Haijazungumziwa ishu ya udini hapa.hivi nani kawaloga WAISLAM? kila kitu udini udini, mbona hatujawasikia mkisema udini pale ndugu zetu WAAFRIKA KULE DARFUR WAKILIUWA NA WAARABU? GADAFFI anaua raia wake hakuna udini, wenye pesa wanasema umeua inatosha sasa tunakustopisha, mnakuja na hoja za udini. hakuna udini hapa, lazima mbadilike ktk kuangalia mambo, muwe na macho. Ni lazima kuona bila kutanguliza dini.
kitu gani cha kwanza ktk familia yako jiulize kabla.
acha gadafi aondoke.mtu anaeua raia wake hafai kuwa madalakani
Tatizo lako unakurupuka, kati yangu na wewe nani amkaribishe mwenzie hapa jamvini?wewe umeingia jamvini bila kupitia jukwaa la utambulisho............
UN hawapigi Libya. Wanaopiga libya ni EU,UAE,France,Italy,UK,Denmark na USA(kwa mbali).
Hao UN unaowasema ndo wanavikosi vya kulinda amani Ivory Coast na hata sasa wapo wanamlinda Ouwatarra kwenye hoteli ya Abidjan.
Huyo Gbagbo alishakata tamaa. Anajua safari ya kwa Ocampo imeiva.
Miafrika ipi unayoisema hapa una maanisha GHADAFi au NDUKA?
Hehehe mkuu hii umeitoa kwenye forums za pro gaddafi? Command ya hii operation iko Naples Italy, base nyingine zinazotumika ni Sardinia na Sicily tornadoesbna typhoon za uingereza zinaruka kutoka marham raf base.
Originally Posted by Askari Kanzu:
Nafikiri ni kipengele hiki cha UNSC Resolution 1973 (2011) ambacho kinaidhinisha kuyatwanga magari ya Gaddafi:
4. Authorizes Member States that have notified the Secretary-General, acting nationally or through regional organizations or arrangements, and acting in cooperation with the Secretary-General, to take all necessary measures, notwithstanding paragraph 9 of resolution 1970 (2011), to protect civilians and civilian populated areas under threat of attack in the Libyan Arab Jamahiriya, including Benghazi, while excluding a foreign occupation force of any form on any part of Libyan territory, and requests the Member States concerned to inform the Secretary-General immediately of the measures they take pursuant to the authorization conferred by this paragraph which shall be immediately reported to the Security Council;
Kuwa muanzilishi wa AU hakumpi utakatifu Gaddafi
Hehehe mkuu hii umeitoa kwenye forums za pro gaddafi? Command ya hii operation iko Naples Italy, base nyingine zinazotumika ni Sardinia na Sicily tornadoesbna typhoon za uingereza zinaruka kutoka marham raf base.