The Privacy In Relationships...

lakini tukatae tusikatae
wapo watu ni wa siri tu by nature
hata kama hawana cha kuficha.....
 
Kaazi kweeli kweeli........!!!!!

Naheshimu privacy yenu. Off I go........
 
Usiri wa hiari
si kwamba hawawezi badilika

strategic positioning ili kusiwe na uhuru wa kuangalia mambo yake
Na'in case of emergence, for sure he will break the glass.'

lakini tukatae tusikatae
wapo watu ni wa siri tu by nature
hata kama hawana cha kuficha.....
 
Unreasonableness yao...kama hivyo ulivyosema hata kama hawana cha kuficha bado watataka kuficha tu.

but mimi nimewahi kusikia wataalamu wa saikolojia
wanadai kila mtu anahitaji privacy kwenye vitu vyake
hata watoto wadogo
mfano binti yako teenager ni 'makosa'
kuingilia privacy yake. mfano hiyo ya kutazama simu yake na kadhalika
nimesikia hata wanasheria wanazungumza hili la 'the right for privacy'
sijui ikoje hii??????/
 
Utakubali binti yako wa miaka 13 awe na privacy?
Labda sijaelewa, ya kiwango gani?
Na simu kwa umri huo afu bado awe na privacy?

Utapigwa penati ukiwa unashangaa!!

but mimi nimewahi kusikia wataalamu wa saikolojia
wanadai kila mtu anahitaji privacy kwenye vitu vyake
hata watoto wadogo
mfano binti yako teenager ni 'makosa'
kuingilia privacy yake. mfano hiyo ya kutazama simu yake na kadhalika
nimesikia hata wanasheria wanazungumza hili la 'the right for privacy'
sijui ikoje hii??????/
 
but mimi nimewahi kusikia wataalamu wa saikolojia
wanadai kila mtu anahitaji privacy kwenye vitu vyake
hata watoto wadogo
mfano binti yako teenager ni 'makosa'
kuingilia privacy yake. mfano hiyo ya kutazama simu yake na kadhalika
nimesikia hata wanasheria wanazungumza hili la 'the right for privacy'
sijui ikoje hii??????/

Sasa hapo inategemea na privacy gani. Nadhani, kwa mfano, itakuwa si busara tu kuingia chumbani kwake bila kupiga hodi (hata kama nyumba ni yako). Hapo anastahili privacy.

Ikija kwenye simu, kama mimi ndiyo namlipia bill yake basi ninayo mamlaka yote ya kuikagua endapo nitahisi anafanya vitendo visivyo.

Sasa hao wanasheria wanaozungumzia right to privacy sijui wanazungumzia katika muktadha gani maana dhana ya invasion of privacy ni pana.
 
Sasa hapo inategemea na privacy gani. Nadhani, kwa mfano, itakuwa si busara tu kuingia chumbani kwake bila kupiga hodi (hata kama nyumba ni yako). Hapo anastahili privacy.

Ikija kwenye simu, kama mimi ndiyo namlipia bill yake basi ninayo mamlaka yote ya kuikagua endapo ninahisi anafanya vitendo visivyo.

Sasa hao wanasheria wanaozungumzia right to privacy sijui wanazungumzia katika muktadha gani maana dhana ya invasion of privacy ni pana.

kuna thread nilileta hapa zamani
nilikutana na mwanasheria mwanamke
na katika mazungumzo
alisema wanawasaidia watu kujua haki zao
pamoja na hiyo ya privacy

na alitoa mfano
wa yeye mumewe hawezi kumuuliza iwapo amepokea simu hata usiku
mumewe hawezi kumuuliza nani huyo au ku demand maelezo....
 
Utakubali binti yako wa miaka 13 awe na privacy?
Labda sijaelewa, ya kiwango gani?
Na simu kwa umri huo afu bado awe na privacy?

Utapigwa penati ukiwa unashangaa!!

wewe unasema kitanzania zaidi
kuna nchi mtoto anaweza kukupeleka mahakamani
kwa 'abuses za privacy na mahakama ikakupa 'amri ya kuheshimu haki za mwanao...
hii dunia ione tu hivi
 
Duh, mume kashikwa mapembe nadhani

Hata hivyo bado naamini, si kila wanachohubiri kuwa ni haki ya mtu ni nzuri kwa afya ya mahusiano.
Angalia suala la haki za wanawake ;linavyopiganiwa
Lakini angalia mtazamo wa wanamme kwenye suala hilo.

Na kwa kiwango gani linaathiri mahusiano pale mke anapoamua ku-exercise haki zake zote.
Angalia hata nchi zilivyoendelea wanavyo-suffer na haki za watoto wao wenyewe
Kwa kiwangi fulani zimechangia watoto kuwa 'spoiled little brats'

kuna thread nilileta hapa zamani
nilikutana na mwanasheria mwanamke
na katika mazungumzo
alisema wanawasaidia watu kujua haki zao
pamoja na hiyo ya privacy

na alitoa mfano
wa yeye mumewe hawezi kumuuliza iwapo amepokea simu hata usiku
mumewe hawezi kumuuliza nani huyo au ku demand maelezo....
 
Najua hilo in blue.
Unadhani inawasaidia kihivyo? hasa kimahusiano achia mbali haki kisheria.

wewe unasema kitanzania zaidi
kuna nchi mtoto anaweza kukupeleka mahakamani
kwa 'abuses za privacy na mahakama ikakupa 'amri ya kuheshimu haki za mwanao...
hii dunia ione tu hivi
 
lakini tukatae tusikatae
wapo watu ni wa siri tu by nature
hata kama hawana cha kuficha.....

TB! Umenena !
Ni maneno mafupi sana, bt mimi nimeyapa rank ya kama ndiyo "comment mchezaji nyota" wa Uzi huu .
Ok naelekea zangu mitaa ya Siasa .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom