Kwelii kabisa...mimi mmojawapo napenda sana kuanzisha topic lakini ntapotea tu kwa sababu ya mihangaiko....ktk sisi wengi uwezo wao ni bayana..hawana lugha za karaha...mada zao ni fikirishi ujishike...ukongwe dawa...wanakubalika...ndioo hata kijiji hakikosi mastarring...wapi bujiii,the boos nk..
Nilion mada ya mwanajamii juzjuz alikuwa anajitahidi kumjibu kila mtu anaechangia nahisi hiyo pia inakufanya ujisikie kupost na kupost, sasa wengine wakipost naona hadi page ya pili mwenye thread haonekani, waiii ya nn sasa