The Finest, Afrodenzi, Asprin, AshaDii, Mbu, MwanajamiiOne, Lizzy, Teamo

Kwelii kabisa...mimi mmojawapo napenda sana kuanzisha topic lakini ntapotea tu kwa sababu ya mihangaiko....ktk sisi wengi uwezo wao ni bayana..hawana lugha za karaha...mada zao ni fikirishi ujishike...ukongwe dawa...wanakubalika...ndioo hata kijiji hakikosi mastarring...wapi bujiii,the boos nk..
Nilion mada ya mwanajamii juzjuz alikuwa anajitahidi kumjibu kila mtu anaechangia nahisi hiyo pia inakufanya ujisikie kupost na kupost, sasa wengine wakipost naona hadi page ya pili mwenye thread haonekani, waiii ya nn sasa
 
Kwelii kabisa...mimi mmojawapo napenda sana kuanzisha topic lakini ntapotea tu kwa sababu ya mihangaiko....ktk sisi wengi uwezo wao ni bayana..hawana lugha za karaha...mada zao ni fikirishi ujishike...ukongwe dawa...wanakubalika...ndioo hata kijiji hakikosi mastarring...wapi bujiii,the boos nk..

Moria, upo mama? Yaani leo hapa kibandani kwangu hamna umeme, nikajidai mtaalam wa Pwani kwa kuvaa msuli, mbwa koko wa jirani kaja kaung'ata na kukimbia nao.
Sijui nifiche wapi aibu yangu
 
Moria, upo mama? Yaani leo hapa kibandani kwangu hamna umeme, nikajidai mtaalam wa Pwani kwa kuvaa msuli, mbwa koko wa jirani kaja kaung'ata na kukimbia nao.
Sijui nifiche wapi aibu yangu

Buji bwana! Una vijimizemo! Haya Mbwa ndo kusema kaondoka na msuli eh? Ukabaki na bukta yako au?
 
Mkuu, nitawaarifu BAKWATA watoe tamko kali kwa mbwa wanaozalilisha waumini kwa kuwavua vazi.
Kwa hiyo vuzivuzi....tamka kiarabu hapo..... Ikabaki wazi!
Moria, upo mama? Yaani leo hapa kibandani kwangu hamna umeme, nikajidai mtaalam wa Pwani kwa kuvaa msuli, mbwa koko wa jirani kaja kaung'ata na kukimbia nao.
Sijui nifiche wapi aibu yangu
 
Saas
kuna kidude cha "THANKS" sjui nani kakiazima bila kuomba..
huyo mtu akikirudisha tu ntakutafuta .. asante sana my dear
..

Take care for now...:)
 

lol....shughuli!...kama ni hivyo ninavyohisi, mlaumu yeye bana....

Akha! Soulmate jamani! Sa nawe wantupia kesi mie badala ya kuniprotect kiume?! Ahaaaa hebu hiyo pete yako kaa nayo kwanza ishike kutu! Amah

Mwaya mtoa mada naomba radhi kwa kuchakachua sred (usijenpunguzia marks bure). Nakupenda! Lol
 

...shughuli!
...hapana, ila na engagement ring ya soulmate wangu, mwanajamiione...lol...

dahhhhh Mbu unanitamanisha eti..
mate yameanza toka nataka kusikia full story ..

Ukipata muda nenda kule tueleze tu ulianzaje anzaje mpaka hapo aliposena "yes", "NO" au "MAYBE"

halafu story hapa haziendani kidogo ...
bibie anasema bado hajapokea .. duuuhhhhh

utuwekee na details kidogo mfano .. ilikuwa ya Gold na Tanzanite kwa juu au diamond ya carat ...

Twakusuburi asante..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom