afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
The Finest, Afrodenzi, Asprin, AshaDii, Mbu, MwanajamiiOne, Lizzy, Teamo..
Hongereni...nawaonea wivu..lol
Rejao hata mi sinilikufagilia skuile bana...
mimi bado penda wewe ati...
The Finest, Afrodenzi, Asprin, AshaDii, Mbu, MwanajamiiOne, Lizzy, Teamo..
Hongereni...nawaonea wivu..lol
Halafu hao members sio wachoyo wa kugonga "like" na "thanks". Hii inastimulate sana kuonyesha wameexclence mchango wako.
Hongereni bana!!
Kakague kule, nshakugongea ka LIKE.
Hatutaki masihara kwenye haka kafani bana.
Hiyo red umechakachua, hapa kwangu mbona panasomeka "You"? Khaa!.........Afu nambie kwanini TF umeipigia mstari? Una mimba yake au?...........Sore foo zis ofu topiki in zis yuziful sredi
Hebu waeleze bana, manake mi usiponigongea hako kadude huwa nakosa apetaiti ya kukamata lanchi ya mchana. Ngoja niongee na invizibo aturudishie na ile apetaiza nyingine inayoitwa "SENKSI"Khaaaa!! Haya bana!! Mi nashangaa sana kuna members humu hata siku siku yao ya kuzaliwa(sherehe) wanakuwa wagumu sana kugonga hivi vitu, sijui wakoje!!
Hahaha!!! Kuna umuhimu wa kutafuta Al-Batar kule OceanicHiyo red umechakachua, hapa kwangu mbona panasomeka "You"? Khaa!.........Afu nambie kwanini TF umeipigia mstari? Una mimba yake au?...........Sore foo zis ofu topiki in zis yuziful sredi
Hilo nalo neno la ukweee!Hahaha!!! Kuna umuhimu wa kutafuta Al-Batar kule Oceanic
Hiyo red umechakachua, hapa kwangu mbona panasomeka "You"? Khaa!.........Afu nambie kwanini TF umeipigia mstari? Una mimba yake au?...........Sore foo zis ofu topiki in zis yuziful sredi
Hiyo red umechakachua, hapa kwangu mbona panasomeka "You"? Khaa!.........Afu nambie kwanini TF umeipigia mstari? Una mimba yake au?...........Sore foo zis ofu topiki in zis yuziful sredi
eeeh makubwa!! ngoja kwanza iundwe tume huru hapa!!
Hahaha!!! Kuna umuhimu wa kutafuta Al-Batar kule Oceanic
Imeandikwa mvumilivu hula mbivu. Afu kama bado umenuna niambie nilog out.em rudi juu soma tena..
ngoja.., kwanza futa hiyo miwani in ugali..
Halafu lako lina rangi ya blue ...
The Finest yake tayari ilikuwa na mstari chini..
bado hujanipa muda wa kuku uliza lile swali ndo maana nime nuna....
Imeandikwa mvumilivu hula mbivu. Afu kama bado umenuna niambie nilog out.
Subiri kwanza LiFinest lilale kwanza. Hivi ushaona kitambi chake?imeandika Ahadi ni deni....
mi nime nuna tu...
nikuletee chai ya saa nne halafu unipe story..??
Yeah nakumbuka...nakukubali sana AfrodenziRejao hata mi sinilikufagilia skuile bana...
mimi bado penda wewe ati...
Hahaha!!! Sizinga nilifikiri hiyo comment hautaionaeeeh makubwa!! ngoja kwanza iundwe tume huru hapa!!
Khaaaaa!!!! LolSubiri kwanza LiFinest lilale kwanza. Hivi ushaona kitambi chake?
Dah!!! Mlianza kupelekeana chai tokea lini???imeandika Ahadi ni deni....
mi nime nuna tu...
nikuletee chai ya saa nne halafu unipe story..??
Nilion mada ya mwanajamii juzjuz alikuwa anajitahidi kumjibu kila mtu anaechangia nahisi hiyo pia inakufanya ujisikie kupost na kupost, sasa wengine wakipost naona hadi page ya pili mwenye thread haonekani, waiii ya nn sasa
Subiri kwanza LiFinest lilale kwanza. Hivi ushaona kitambi chake?