kweli kabisaI have liked the analysis of this writer!
Imeenda shule!
taja vipaumbele,usikurupuke
umeandika nini sasa?Sijazikariri bablai, ila wewe huna sera. just another bound to fail hater.
Kenyans are not happy with magufuli's presidency ,we Tanzanian need to distance from media propaganda based in kenyaTanzania tuna vipaumbele vyetu na sisi ndio tutakaosema kama Rais atafeli ama la! Hao mabwana zenu ambao kila siku mnawakumbatia subirini utawala wa UKAWA ndipo muwape hicho wanachohitaji.
HUWEZI KUWALETEA WANANCHI MAENDELEO BILA KUFUATA YA FUATAYO, Kuwe na THE REAL RULE OF LAW, DEMOCRASIA YA KWELI, HUMAN RIGHTS NA CHECK AND BALANCE.Nawashangaa hawa the Mburulaz wanakazana kuwakumbatia wakuja ilhali kiongozi shupavu tunaye
Mwandishi amefanya reference ya watu mbalimbali na kutoka taasisi mbalimbali, ambao kimsingi huzifanya hizo jumuiya za kimataifa!Mkuu hiyo "jumuiya ya kimataifa" unayoizungumzia ni ipi, au ni huyo mwandishi hapo juu
Hiyo lugha imemchanganya akajua ni jumuiya ya kimataifaMkuu hiyo "jumuiya ya kimataifa" unayoizungumzia ni ipi, au ni huyo mwandishi hapo juu
Huyu mwandishi ni one of those useless analysts. He selectively gives examples of failures and not successes that have resulted from single handedly initiatives. All over the world we have such examples. Why not talk of Singapore achievements? Which or what democracy did sail Singapore to modern development indicators.
The writer ignorantly prefers Magufuli operating within official structures and institutional checks and balances which were not working! Unless you are a stupid leader, how can one board a defective plane? Being a Kenyan, possibly wishing to benefit from corrupt behavior, I am sorry to say the writer is worried that the same leadership approach may be embraced by Kenyan leaders. To me sounds offal to have such low level of analysis
hahahahaaa kweli mkuuHUWEZI KUWALETEA WANANCHI MAENDELEO BILA KUFUATA YA FUATAYO, Kuwe na THE REAL RULE OF LAW, DEMOCRASIA YA KWELI, HUMAN RIGHTS NA CHECK AND BALANCE.
kwa matamko ya MUNGU MTU hatutafika kokote
wakubwa wa dunia wamem study,washapata jibuSihitaji kuutumia huu uchambuzi murua kusema kwamba ze mtukufu nchi imemshinda. Nilijua toka kitambo jamaa ni hoi.
Anakata kona tu na rivasi. Hatuendi kokote.