Mzee wa Masauti
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 2,199
- 2,508
Kipaumbele chetu ni kununua bombadia badala madawa. [HASHTAG]#Magufuliisboundtofail[/HASHTAG]Tanzania tuna vipaumbele vyetu na sisi ndio tutakaosema kama Rais atafeli ama la! Hao mabwana zenu ambao kila siku mnawakumbatia subirini utawala wa UKAWA ndipo muwape hicho wanachohitaji.