bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Kizazi cha dot.com, not all of them but mostly....even here where I am!!
umejinasua.......
hujambo Kimey??
Mis you.....
Kizazi cha dot.com, not all of them but mostly....even here where I am!!
ha ha ha nilijua tu hicho ndo ulichokua unataka kusikia!! Am doing great my dia!! Mic u too!!umejinasua.......
hujambo Kimey??
Mis you.....
nikilala usingizi sipati!
nikila sishibe!
nikinywa maji nakuona kwenye gilasi!
unanitesa mpenzi!
sasa kwa nini unizungushe mwenzio mpaka naskia kizunguzungu........ha ha ha nilijua tu hicho ndo ulichokua unataka kusikia!! Am doing great my dia!! Mic u too!!
baba E ipi ilikushika hapo.....
nikinywa maji nakuona kwenye UJI
oh sorry didn't know that!! but one day will bring u nice stuff!!sasa kwa nini unizungushe mwenzio mpaka naskia kizunguzungu........
Mbona hii mada siielewi? au nadandia treni kwa mbele nini?What pick up line worked or didn't work for you?
Mbona hii mada siielewi? au nadandia treni kwa mbele nini?
Pick up line ni nini? na inahusiana vipi na MMU?
oh sorry didn't know that!! but one day will bring u nice stuff!!
Mbona hii mada siielewi? au nadandia treni kwa mbele nini?
Pick up line ni nini? na inahusiana vipi na MMU?
Mbona hii mada siielewi? au nadandia treni kwa mbele nini?
Pick up line ni nini? na inahusiana vipi na MMU?
Andanenga ndo alikuwa mwalimu wako wa fasihi wewe eeh??!!!Ni mambo ya fasihi andishi haya Charity.....Ana maanisha maneno matamu uliyowahi kutamkiwa kwenye siku za mwanzo mwanzo ya uhusiano!
Andanenga ndo alikuwa mwalimu wako wa fasihi wewe eeh??!!!
Mbona hii mada siielewi? au nadandia treni kwa mbele nini?
Pick up line ni nini? na inahusiana vipi na MMU?
Nilikuwa nacheza sanaa za jukwaani nikiwa shule....!!! Kabla ya kuhamia kwenye basketball!!! Kwa hiyo fasihi hainipigi chenga sana!
sis charity umeona eeh inavyoleta utata.
mpaka people wameamua kujianziashia mada zao ndani ya mada sijui we ndo barafu wa moyo wangu ukiyeyuka sina pumzi tena
maisha yangu yako mikononi mwako sijui yeye amekuwa mungu ...
jambo limezua jambo
Kibongo bongo i think the best pick up line is " Samahani nani anakuweka mjini?"
bestlady mbona ndo humo humo tu......