The basement club ndani ya denfrance hotel sinza

Unapata shida kuelezea kwa mtogole, kifupi club yako ipo kwa mtogole karibu na lile daraja linalonuka kuliko yote hapa Tanzania. Kwa wale wapenzi madisko ya kwa mtogole kazi kwenu nendeni kwenye club zenu ambazo pia kukutana wauza machungwa na karanga wakiendelea na biashara zao dance floor.

we kweli ni kibogoyo wa akili, what matters ni quality ya club na si location yake! unataka kusema hata hapa tz hakuna sehemu nzuri za kustarehe zenye ubora eti kwa sababu ni nchi maskini!? ina maana wewe bongo hii hujawahi kuona nyumba kali zilizojengwa kwenye maeneo ya watu duni? i guess wewe utakuwa ni mtoto wa bwana mifugo wa kijiji fulani ambaye umekuja mjini baada ya babako kupata transfer kuja kufanya kazi wizarani hapa dar.
 
Unapata shida kuelezea kwa mtogole, kifupi club yako ipo kwa mtogole karibu na lile daraja linalonuka kuliko yote hapa Tanzania. Kwa wale wapenzi madisko ya kwa mtogole kazi kwenu nendeni kwenye club zenu ambazo pia kukutana wauza machungwa na karanga wakiendelea na biashara zao dance floor.
We utakua hapa bongo uliletwa, hivyo hufai hata kuitwa wakuja.Ukianzia Kwa Mtogole kuna Tanesco, Shule, Kona, Darajani ndo ufike White inn,ni mbali sana na kwa mtogole, angalau ungesema Lion au Vatican.
 
We utakua hapa bongo uliletwa, hivyo hufai hata kuitwa wakuja.Ukianzia Kwa Mtogole kuna Tanesco, Shule, Kona, Darajani ndo ufike White inn,ni mbali sana na kwa mtogole, angalau ungesema Lion au Vatican.
Acha kutaja vituo vya daladala, mm sipandi daladala we ndezi, hapo ni kwa mtogore tu, buffer zone ya Sinza inaishia kijiweni huko kwenu ni kwa mtogore.
 
DearJohn, nimepata msg yako ktk inbox yangu. Siku nikija tena lazima ntakuja kukupa 'hi'. all da best
 
Acha kutaja vituo vya daladala, mm sipandi daladala we ndezi, hapo ni kwa mtogore tu, buffer zone ya Sinza inaishia kijiweni huko kwenu ni kwa mtogore.
siku hizi umepata visenti vya kupandia bajaj basi unaona umemaliza matatizo yooote duniani. pygmy minded!
 
Back
Top Bottom