Unapata shida kuelezea kwa mtogole, kifupi club yako ipo kwa mtogole karibu na lile daraja linalonuka kuliko yote hapa Tanzania. Kwa wale wapenzi madisko ya kwa mtogole kazi kwenu nendeni kwenye club zenu ambazo pia kukutana wauza machungwa na karanga wakiendelea na biashara zao dance floor.
We utakua hapa bongo uliletwa, hivyo hufai hata kuitwa wakuja.Ukianzia Kwa Mtogole kuna Tanesco, Shule, Kona, Darajani ndo ufike White inn,ni mbali sana na kwa mtogole, angalau ungesema Lion au Vatican.Unapata shida kuelezea kwa mtogole, kifupi club yako ipo kwa mtogole karibu na lile daraja linalonuka kuliko yote hapa Tanzania. Kwa wale wapenzi madisko ya kwa mtogole kazi kwenu nendeni kwenye club zenu ambazo pia kukutana wauza machungwa na karanga wakiendelea na biashara zao dance floor.
Ndiyo hivyo mkubwa.halafu ukikatibia dalajani utaiona Hiyo Hotel ya DENFRANCE.na hii ndio webcyte ya Hotel husika DENFRANCE Hotel - Dar es Salaam, Tanzania ingawa hakuna phots za club lakina nagfanya utaratibu wa kuzichukua na kuzi upload.Kama natokea Kinondoni napita kwa mtogole?
Acha kutaja vituo vya daladala, mm sipandi daladala we ndezi, hapo ni kwa mtogore tu, buffer zone ya Sinza inaishia kijiweni huko kwenu ni kwa mtogore.We utakua hapa bongo uliletwa, hivyo hufai hata kuitwa wakuja.Ukianzia Kwa Mtogole kuna Tanesco, Shule, Kona, Darajani ndo ufike White inn,ni mbali sana na kwa mtogole, angalau ungesema Lion au Vatican.
siku hizi umepata visenti vya kupandia bajaj basi unaona umemaliza matatizo yooote duniani. pygmy minded!Acha kutaja vituo vya daladala, mm sipandi daladala we ndezi, hapo ni kwa mtogore tu, buffer zone ya Sinza inaishia kijiweni huko kwenu ni kwa mtogore.