UncleBen
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 9,598
- 11,993
Ulicho kariri ni ubishi tu ,hebu tusaidie kwa wewe unaye elewa Rwanda ipo wapi ???Asante mama kwa kuwaelimisha watu wabishi
Ulicho kariri ni ubishi tu ,hebu tusaidie kwa wewe unaye elewa Rwanda ipo wapi ???Asante mama kwa kuwaelimisha watu wabishi
Mkuu wanasema ipo Central Africa kutokana na mipaka ya kitumwa tuliyowekewa na wazungu ,kwenye ramani hapo it makes sense Rwanda na Burundi kuwa East Africa kuliko kuwa central AfricaView attachment 322936
View attachment 322937
kijografia ebu nitenganishie hapo tanzania ya east africa na rwanda/burundi ya central africa. ukiangalia hapo upande wa magharibi mwa tanzania vertically utaona kigoma, rwanda na burundi na uganda ziko sambamba.
Sitaki kubishana. Rudia post na majibu .. Kama concept ndogo tu hio unashindwa kuelewa je tukikushukia topic ya organic chemistry si utajiharrishia?Ulicho kariri ni ubishi tu ,hebu tusaidie kwa wewe unaye elewa Rwanda ipo wapi ???
Hii ndio shida ya watanzania ,concept zipi ?? Toa za kwako sio unadandia za watu ,wewe organic chemistry umeona ni rocket Science na hizi zitakua nini ? -errors and dimensionSitaki kubishana. Rudia post na majibu .. Kama concept ndogo tu hio unashindwa kuelewa je tukikushukia topic ya organic chemistry si utajiharrishia?
Naona umeicopy na kuipest hapa sio? Kama wewe noma hicho ulichokikopi na kukipest hapa kiandike kwa kiswahili.Hii ndio shida ya watanzania ,concept zipi ?? Toa za kwako sio unadandia za watu ,wewe organic chemistry umeona ni rocket Science na hizi zitakua nini ? -errors and dimension
-MECHANICS:newtons laws,simple harmonic motion,circular motion,projectile motion,elasticity,fluid mechanics,gravitation and rotational motion
-Heat and kinetic theory of gases
-wave and wave motion
-electrostatics
Toa sababu kwanini Rwanda sio East Africa ?
Usijifanye una maneno machafu ,anayepigwa miti mama ako ,wewe mbona mkund* umeoza huo kila siku kuomba ushauri kwa ID tofautiEwe punguani, unachobishana kwa kuhororoja na kubwabwaja bila mpango ni kipi? Nimeshakwambia mleta mada yupo sahihi.
Leo mimi Samora Avenue nnaiita Independence Avenue. Na waliokuwepo wananielewa.
Hakika shule ulienda kupigwa miti kama ulivyojiainisha.
Acha upumbavu wewe nimepita OLD MOSHI ,halafu PCM ,enzi ya KINUNDA waliopita old moshi wanajua naongelea nini ,TOA SABABU KWANINI RWANDA SIO EAST AFRICA ???Naona umeicopy na kuipest hapa sio? Kama wewe noma hicho ulichokikopi na kukipest hapa kiandike kwa kiswahili.
Na hilo swali unaloliuliza si umeshajibiwa?
Tatizo unakurupuka unataka unachokiwaza wewe kiwe hivyo hivyo, kila kitu kimewekwa na kipo kwa tararibu za kimakubaliano.
Acha ubishi
Ben kwanza matusi ya nini?Acha upumbavu wewe nimepita OLD MOSHI ,halafu PCM ,enzi ya KINUNDA waliopita old moshi wanajua naongelea nini ,TOA SABABU KWANINI RWANDA SIO EAST AFRICA ???
Kumbe kwa nini unataka mimi niamini anacho kisema huyo ajuza ??
Upumbavu sio matusi ni Rulling Mkapa aliitoa unapotaka kusema sijui kwamba concept ndogo inanishinda je eti organic chemistry nitaelewa ?? wewe ulijuaje kwamba sitaelewa ? sasa kama sio upumbavu ni nini au ulifikiria nimesomea mapishi nini MzeeBen kwanza matusi ya nini?
Ukianza matusi badi ujue hutapata unachokitaka..
Old na PCM ndio zilizofubaza ubongo wako hadi unashindwa kuelewa concept ndogo hivi?
Unaitia aibu Old Moshi.
Kuna ulazima gani wa kutoa lugha za aina hii? Sijaona mahali ambapo Faiza amekosea zaidi ametoa ufafanuzi mzuri sana na Saint Iyuga akaongeza kuna namna ya kukubaliana katika jambo tusilolikubali.Usijifanye una maneno machafu ,anayepigwa miti mama ako ,wewe mbona mkund* umeoza huo kila siku kuomba ushauri kwa ID tofauti
Asante sana Bro...Kuna ulazima gani wa kutoa lugha za aina hii? Sijaona mahaki ambapo Faiza amekosea zaidi ametoa yfafanuzi mzyri sana na Saint Iyuga akaongwza kuna namna ya kukubaliana katika jambo tulilolikubali.
Sioni kabisa ulazima wa lugha kama hizi.
Hatupotwzu kitu kama tutaheshimiana.
Pia haitufanyi wajanja au werevu kuwa waharifu wa kimaadili
Mzee kwangu mimi ni jino kwa jino sio zaidi ya hapo wala pungufu ya hapo,kilochotolewa hapo ni ufafanuzi au maneno ya kukariri ,kwenye hayo maelezo yao sijaona bado kitu cha kuni convince kwamba Rwanda sio EAST AFRICAKuna ulazima gani wa kutoa lugha za aina hii? Sijaona mahaki ambapo Faiza amekosea zaidi ametoa yfafanuzi mzyri sana na Saint Iyuga akaongwza kuna namna ya kukubaliana katika jambo tulilolikubali.
Sioni kabisa ulazima wa lugha kama hizi.
Hatupotwzu kitu kama tutaheshimiana.
Pia haitufanyi wajanja au werevu kuwa waharifu wa kimaadili
Naona mnamjaza upepo mwenzenu...Uncleben unapiga nyundo za utosini
kama wewe unavyomjaza upepo huyo bibi ako anayeita watu punguwani, na ndo tabia yake hiyo.Naona mnamjaza upepo mwenzenu...
Aisee sijawahi kuona mtakatifu wa aina yako ,hizo topics kuzileta kwa Kiswahili unamaanisha nini ??au wewe ndio matokeo ya BRN ?? Ni wapi Tanzania hii physics imefundishwa kwa kiswahili ???Ben ilete ile copy and paste yako kwa kiswahili.. Nenda hata google swahili translater Wewe si genius wa old moshi?