DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 2,385
- 1,566
Samahani nlikua sijui ,Kumbe Kigali imepakana North Korea
Hivyo PYONGYANG ilitakiwa iwepo na yenyewe sio
Samahani nlikua sijui ,Kumbe Kigali imepakana North Korea
Ni sawa hata mimi najua ipo Central Africa ila kwa ujuha wenu mmeiweka kwenye EAC ,kwanini hamkuichukua Eritrea au Ethiopia ?? Maana na Zenyewe ni East AfricaKigali hata ipakane na Indonesia bado si East Africa. Kigali tuna ushirikiano nao katika Jumuiya ya Afrika Mashariki aka East African Community.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ni sawa hata mimi najua ipo Central Africa ila kwa ujuha wenu mmeiweka kwenye EAC ,kwanini hamkuichukua Eritrea au Ethiopia ?? Maana na Zenyewe ni East Africa
Shule nilienda kusomea kupiga miti una lingine ???
Kumbe Algerian wapo SADC ???? Nshakuambia shule nimeenda kusomea kupiga miti hujaelewa niniEwe punguani, kuwa kwenye jumuia hakuingiliani na mipaka ya jiografia.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ni sawa hata mimi najua ipo Central Africa ila kwa ujuha wenu mmeiweka kwenye EAC ,kwanini hamkuichukua Eritrea au Ethiopia ?? Maana na Zenyewe ni East Africa
Shule nilienda kusomea kupiga miti una lingine ???
kigali si ya sita apo au?
Kumbe Algerian wapo SADC ???? Nshakuambia shule nimeenda kusomea kupiga miti hujaelewa nini
Kumbe tatizo lako ni maneno sasa hapa ujuha tunatofautiana vipi kama hizi Geographical locations sio moja wapo ya sababu za kuzipa majina union au comunity zetu kwanini JAPAN hawapo EU ??Andika kirefu cha EAC ujione ulivyo juha.
Ngoja tuende taratibu tupeane Darasa kuum Malawi iko wapi ? Na tunashea nao nini ,kwa kutumia hicho kigezo cha Geographical locations ndio Tanzania ikaingia SADCKuwepo au kutokuwepo kwa Algeria SADC hakumaanishi chochote.
Jiulize kwa nini Tanzania imekuwa ipo SADC?
rocky city mwanza kwa wajanja tanzania, narepresent buzuruga downtown.Mkuu upo jiji gn?
hii mipaka ya wazungu imewatia ujinga kabisa, kigali, bujumbura ndo kigoma ndo kagera. bila huo mchoro wa wazungu rwanda, burundi na tanganyika ni sehemu moja kabisaEast Africa ni Kenya, Uganda na Tanzania usichanganye na East African Community.
Mkuu umewatafunia kila kitu washindwe kumeza tuhii mipaka ya wazungu imewatia ujinga kabisa, kigali, bujumbura ndo kigoma ndo kagera. bila huo mchoro wa wazungu rwanda, burundi na tanganyika ni sehemu moja kabisa
Kigali hata ipakane na Indonesia bado si East Africa. Kigali tuna ushirikiano nao katika Jumuiya ya Afrika Mashariki aka East African Community.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ni sawa hata mimi najua ipo Central Africa ila kwa ujuha wenu mmeiweka kwenye EAC ,kwanini hamkuichukua Eritrea au Ethiopia ?? Maana na Zenyewe ni East Africa
Shule nilienda kusomea kupiga miti una lingine ???
Ewe punguani, kuwa kwenye jumuia hakuingiliani na mipaka ya jiografia.
Nchi hazichukuliwi zinazoona jumuia itakuwa na manufaa kwao huomba kujiunga. Hao uliowataja ulipokea wewe maombi yao?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
ajabu wanaweza kutema ila hiyo ni shauri yaoMkuu umewatafunia kila kitu washindwe kumeza tu
Asante mama kwa kuwaelimisha watu wabishiKigali hata ipakane na Indonesia bado si East Africa. Kigali tuna ushirikiano nao katika Jumuiya ya Afrika Mashariki aka East African Community.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
rocky city mwanza kwa wajanja tanzania, narepresent buzuruga downtown.
Kwani haujaisoma hiyo listi kingunge!!???? Daaaaah adimanye dimanyireee ntumbwite.Mleta mada Ni kigezo gani umekitumia kusema Dar imeongoza East Africa ??