Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
:whip:
hehehehe!Hahaaaaa... umeanza dogo! tulikua ku-ngurumo zaidi mazee
Ile offer ina-expire kesho saa kumi na nusu aisee
KUMBE NA ILE NI ID YAKE?...........PJ mbona mie hunitwangii naomba kutwangiwa simu tafadhari
shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Hongera kaka PJ we ni mzalendo halisi wa JF
noted again and again!find me there...hahaaa leo ni suku nzuri, kesho ofa inaisha kabla jua halijazama
mtafute bigirita na wenzake
i am officially including you kwenye hiyo list,ili de-novo asikusahau!...........Usinisahau katika ufalme wako.
I WAS BORN FOR THAT ONLY!..............tuko pamoja sana tu, ila itabidi Geoff apange timu ya ushindi... ubingwa bila kupoteza mechi
ha ha ha kumbe kasema alisahau mie alinambia mipaka ilifungwa :rolleyez:
kaizer amefulia.....wapi Kaizer mzee wa Upako
Moyo unauma sikuoni!!
Roho imeingiwa na baridi
Ukimya wako unanitisha
Akili ime..freeze kutokusikia habari zako popote duniani
Mabinamu kaizer wapi jamani ???
mpwa waambie wana jf tulikupokelea wapi na tulikuwa tunafanya nini..........YEAH JF inatuunganisha hata mimi nimekuja DAR na nilipata mapokezi ya Wapwa Xpini, GEOFF, Kaizer etc....
tuko pamoja sana tu, ila itabidi Geoff apange timu ya ushindi... ubingwa bila kupoteza mechi
Pale panaitwa FLORIDA Broda...Kwa wale watu wa masupu ya ulimi, mkia etc..
Pale ni soo Mkuu!...useme shida ya pale dili za wizi wa magari zinasukiwa pale, mchana kweupe!
KUMBE NA ILE NI ID YAKE?...........
noted again and again.........
ngoja nkalielie kwa invizibo..........
he he he yalikua ni maeneo ya Oceanic na Tulikua tunampakata bata!! ha ha ha nimeamini kua nyama ya Bata ya mbele ni Tamu na ya nyuma ina mafuta.........mpwa waambie wana jf tulikupokelea wapi na tulikuwa tunafanya nini..........
hehehehe!!........
hahaaaa, umenikumbusha mbali sana fide, from now on itabidi uwe mze wa choya au choo hiyo?!!
Kweli kabisa si unakumbuka niliambiwa nisipite ile njia ya SERENGETI SERENGETI kuna washomali wanadumisha mila na wasafiri hasa wa kiume? nikaogopa kugeuzwa boflo ila nitakuja nikipata nafasi.