Si nilkuwa nakupa muda ili uwe na muda mrefu wa kuongea na naniliu!PJ mbona mie hunitwangii naomba kutwangiwa simu tafadhari
shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Hongera kaka PJ we ni mzalendo halisi wa JF
ohoooooo no malice intended my friend, sikujua kwamba na wewe uko arachuga!!! nilim-PM akarespond, you really missed a blast, i was a wolf pact full of joy;
Karibu sana, Lakini yale mambo fulani yaachie Chalinze!...Huku ni Full-Ngurumo Ya Upako!
saita deci.... hivi kumaliza tunasemaje kwa ile lugha yetu?
ha ha ha kumbe kasema alisahau mie alinambia mipaka ilifungwa :rolleyez:
wapi Kaizer mzee wa UpakoSi nilkuwa nakupa muda ili uwe na muda mrefu wa kuongea na naniliu!
Kama mshazoweana tayari basi nakutwangia fasta!
Jamani huyu kaka ana upendo wa pekee! nami nilipata ukaribisho nilipokuwa Moshi but sikuweza kwend A town! But my promise is there nikija huko lazima nije nikuone wangu....
Mabinamu kaizer wapi jamani ???
wapi Kaizer mzee wa Upako
Moyo unauma sikuoni!!
Roho imeingiwa na baridi
Ukimya wako unanitisha
Akili ime..freeze kutokusikia habari zako popote duniani
Mabinamu kaizer wapi jamani ???
Mi nasafari ya Chuda karibu basi angalau ukale samaki wa angani.
Kaizer nilikutana nae maeneo ya Tandahimba, wakati natokea Songea kuokota mafedha...ni mzima anawasalimia wote tena aliniambia amekumiss sana
Hata mi nilipita briefly, akanipeleka kanisani!! Kwa kweli anastahili pongezi!
wapi Kaizer mzee wa Upako
Moyo unauma sikuoni!!
Roho imeingiwa na baridi
Ukimya wako unanitisha
Akili ime..freeze kutokusikia habari zako popote duniani
Mabinamu kaizer wapi jamani ???
Kaizer nilikutana nae maeneo ya Tandahimba, wakati natokea Songea kuokota mafedha...ni mzima anawasalimia wote tena aliniambia amekumiss sana
FL1, here I am!
Asante lakini naogopa mambo yako yalee......nasikia kuna maeneo ya magomeni ukikutwa na kifaa cha mtu unakodishiwa hadi matarumbeta na taarabu juu...lol hiyo mkuu naigopa lakini kama ni out of Dsm ni nitakuja....
FL1, here I am!