Zemu
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 518
- 80
Wakuu... JF ni mahali pazuri kwa tunaoitakia nchi yetu mema! mbali na siasa, intelligensia na mambo mengine mazito na ya maana... nadhani jamii, mahusiano na mapenzi ni ada yetu ya kila siku and no one can survive without...
Siku za karibuni nilipita Arusha very briefly, na lazima niseme kwamba nilipata company nzuri sana toka kwa PJ... personally i felt very proud kwa namna ambavyo social network hii imenifanya kupata company nzuri mbali na familia yangu, we had a blast that day and i am sure he enjoyed my company na kujua zaidi intreset zetu pamoja na maisha ya kila siku
this is what we live for, peace and love and for this one i am obliged to give a big up to PJ for his hospitality
DN
PJ ni mwanaJF kweli kweli, mi kaka kanitwangia simu jana tu baada ya kutoa simu yangu kwa wanaJF nilipowaalika kwa harusi yangu tar 17/07.Huyu ni mfano wa kuigwa.Big Up PJ.