Thanks Paka Jimy

Wakuu... JF ni mahali pazuri kwa tunaoitakia nchi yetu mema! mbali na siasa, intelligensia na mambo mengine mazito na ya maana... nadhani jamii, mahusiano na mapenzi ni ada yetu ya kila siku and no one can survive without...

Siku za karibuni nilipita Arusha very briefly, na lazima niseme kwamba nilipata company nzuri sana toka kwa PJ... personally i felt very proud kwa namna ambavyo social network hii imenifanya kupata company nzuri mbali na familia yangu, we had a blast that day and i am sure he enjoyed my company na kujua zaidi intreset zetu pamoja na maisha ya kila siku

this is what we live for, peace and love and for this one i am obliged to give a big up to PJ for his hospitality

DN

PJ ni mwanaJF kweli kweli, mi kaka kanitwangia simu jana tu baada ya kutoa simu yangu kwa wanaJF nilipowaalika kwa harusi yangu tar 17/07.Huyu ni mfano wa kuigwa.Big Up PJ.
 
Mkuu De Novo, just seeing this!

Woow, nadhani umefika salama Chimbo!
I think iam the one who was supposed to open a thread to thank you for considering my presence in A-Town, giving it a due respect, and finally taking a step ahead by PM'ing me!...really it takes a person of your type to be this gentle!

Men, out there, we had a memorable tym with this buddy and his co-workers, and we witnessed with our eyes as the earth made a one-minute-stop, to usher this great unification!
I learnt that a happiest person on earth is the one who succeeds making more friends!

Pal, thanks again!

true that bro.... we had three/four hours of great moment! i count my blessings and i am sure JF is more than a forum, it is s family
 
Kumbe nina kesi ya kujibu hii thread imeisuta nafsi yangu na mimi nilipokelewa VIZURI sana na PRETA na nilifikia kwake,nilikaa siku 2 alinipa gud time sana jioni tukatoka out na Lily Flower na Member 1 anaitwa Dani. Sitosahau siku ile kweli ARUSHA nitarudi.

huyu jamaa bwana haya ..karibu na kwetu...
 
Kumbe nina kesi ya kujibu hii thread imeisuta nafsi yangu na mimi nilipokelewa VIZURI sana na PRETA na nilifikia kwake,nilikaa siku 2 alinipa gud time sana jioni tukatoka out na Lily Flower na Member 1 anaitwa Dani. Sitosahau siku ile kweli ARUSHA nitarudi.

Mkuu, hapo unakesi mbili za kujibu...si moja!(REFER MAONGEZI YA JANA)
kUMBE ulikuja kimyakimya mkuu?
 
Nadhani ni mimi tu nimebakia.
Ni mimi tu kupata mapokezi yako Arusha.
Subiri...........:target:


mkuu rest assured.... na ukienda useme nipange route ya huko!!! this time tutaanzia mbauda na kumalizia CET garden
 
PJ ni mwanaJF kweli kweli, mi kaka kanitwangia simu jana tu baada ya kutoa simu yangu kwa wanaJF nilipowaalika kwa harusi yangu tar 17/07.Huyu ni mfano wa kuigwa.Big Up PJ.

PJ mbona mie hunitwangii naomba kutwangiwa simu tafadhari
shemejiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Hongera kaka PJ we ni mzalendo halisi wa JF
 
mkuu piijeei,
mimi naikumbuka sana ile valuu ya pale wapi sijui...........
dah!
unatisha piijeei
Pale panaitwa FLORIDA Broda...Kwa wale watu wa masupu ya ulimi, mkia etc..
Pale ni soo Mkuu!...useme shida ya pale dili za wizi wa magari zinasukiwa pale, mchana kweupe!
 
Kumbe nina kesi ya kujibu hii thread imeisuta nafsi yangu na mimi nilipokelewa VIZURI sana na PRETA na nilifikia kwake,nilikaa siku 2 alinipa gud time sana jioni tukatoka out na Lily Flower na Member 1 anaitwa Dani. Sitosahau siku ile kweli ARUSHA nitarudi.
thanks mkuu for sharing sentiments

sijui wa mwanza wakoje? maana niliona thread moja hapa ya mwanza na nilikua mwanza lakini nikanoti kwamba wa kule waliua very cold sijui hata kama alipata company
 
HUYO SISTA UNA MPANGO GANI NAE MKUU?....
mbona mnayaongea hammalizi?.......

Tulishayamaliza tangu siku hizo, kilichobaki sasa hivi ni kufuatilia mrejesho (feedback) na utekelezaji tu broda!
 
ha ha ha.....karibu sana Arusha ukijisikia kuja wakati wowote nyumba bado ina nafasi....safari ijayo nitakupeleka ukatembelee Yaeda
saita deci.... hivi kumaliza tunasemaje kwa ile lugha yetu?
 
Back
Top Bottom