Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,004
- Thread starter
- #21
Unajua nadhani imewachukua watu muda mrefu sana kuamini kuwa Mrema ni mpinzani. Wengi walidhani ni "kibaraka".. lakini vibaraka wote wamesharudi CCM.
Mzee Mwanakijiji umenichekesha sana,yaani Mrema anatia Huruma,sijui anaomba na yeye apewe hata ubunge wa kuteuliwa..angalia mikono hiyo...lugha hapo inampiga chenga
Ndio wasiwasi na lugha kama hizi zilizopelekea wananchi kusahahu hoja muhimu wakati huo na kumjengea Mrema chuki mbali mbali zisizokuwa na msingi na shutma mbali mbali na kejeli kama vile hawakuziona hizo issue wakati huo akiwa na madaraka makubwa serikalini!Sasa kama usipokuwa CCM uko hatarini kuwa under intense scrutiny..scrutiny ambayo hauipati kama uko CCM kwani kuna ushaidi mwingi tu wa vyeti vya kuchonga huko mawizarani na masirkalini!MH BORA YA ONLINE KULIKO FEKI!Mrema hawezi kupigwa chenga na lugha, ana degree (sijui ya nini vile!!!) aliipata online. Au walikuwa wanamfundisha kwa kiswanglish?
Mrema ni kati ya watu ninaowaheshimu sana, Ni shujaa alieenda vitani akapigana mwenyewe mstari wa mbele, hakukaa kimya, sera zake za siku saba hazikuwa na utata wala kutokueleweka, aliwaweza majambazi, waliweka silaha chini.
Aliwaweza viongozi wa juu mafisadi, aliwaweza wauza unga, aliwaweza wafanyakazi wa serikali irresponsible.
Jamani nani anakumbuka the good old days, alipokuwa gumzo? yani hata wafanyabiashara walimuunga mkono sana wakijua biashara zao zitastawi baadae katika Tanzania bora.
Mara!!!
Ghafla wakampfanya tumuone kama katuni, akisema kitu watu wanacheka wanapuuza, ilikuwa strategic plan kwani mabomu yake yalikuwa makali na yanalenga.
Katika mambo amabyo Mwinyi atakumbukwa nayo ni kumuweka Mrema an kumtoa.(it was such an impact)
Nani mwingine anayeweza kuwa firm miaka yote hii katika vita, mstari wa mbele kama Mrema? Hakuna, wote wamejificha, au wanakuja kwa msimu.
huyu ndie shujaa wa kweli wa mustakabali wa uchumi wa watanzania
Mrema ni kati ya watu ninaowaheshimu sana, Ni shujaa alieenda vitani akapigana mwenyewe mstari wa mbele, hakukaa kimya, sera zake za siku saba hazikuwa na utata wala kutokueleweka, aliwaweza majambazi, waliweka silaha chini.
Aliwaweza viongozi wa juu mafisadi, aliwaweza wauza unga, aliwaweza wafanyakazi wa serikali irresponsible.
Jamani nani anakumbuka the good old days, alipokuwa gumzo? yani hata wafanyabiashara walimuunga mkono sana wakijua biashara zao zitastawi baadae katika Tanzania bora.
Mara!!!
Ghafla wakampfanya tumuone kama katuni, akisema kitu watu wanacheka wanapuuza, ilikuwa strategic plan kwani mabomu yake yalikuwa makali na yanalenga.
Katika mambo amabyo Mwinyi atakumbukwa nayo ni kumuweka Mrema an kumtoa.(it was such an impact)
Nani mwingine anayeweza kuwa firm miaka yote hii katika vita, mstari wa mbele kama Mrema? Hakuna, wote wamejificha, au wanakuja kwa msimu.
huyu ndie shujaa wa kweli wa mustakabali wa uchumi wa watanzania
Nilikuwepo binafsi kwenye ile mitafaruku ya mabomu!Mzee wa kiraracha na sukari yake hakukata tamaa!Alikuwa achukue nchi na mwl alikuwa anampenda ila wasiwasi wake ndio uliomfanya asikubali aende ikulu!
Lakini kunzia kashfa ya minofu ya samaki na kina chavda!Pamoja na yeye kutimuliwa bungeni kwa kigezo cha ukiukwaji wa "collective responsibility"..Mrema alikuwa upande wa wananchi! Akautema uwaziri na unaibu waziri mkuu na kukaa benchi la nyuma kama mbunge wa kawaida tu na kuanza kuwalima maswali mafisadi aliokuwa akifanya nao kazi na wengine waliokuwa chini yake!
Huyu jamaa kweli ni mzalendo! Alikuwa upande wa wananchi toka wakati akiwa CCM na alikuwa maarufu kwa kusimamisha shilingi!Alikuwa mpiganiaji haki za wananchi pamoja na mazao yao kama vile kahawa na korosho,pamoja na sekta za madini!Na CCM ndio walimuona kuwa ni kizuizi kwenye ufisadi!Na yeye kwa kuona kuwa CCM wanamzuia yeye kuwatumikia wananchi ipasavyo aliamua kujiunga na upinzani!Akayatema maslahi na kuhimili ujasusi wa Mkapa na Mahita ambao walimtreat kama jambazi!Na kumbe majambazi ni wao!
Hii picha hapo juu kwa vile ninavyomfahamu mzee wa kiraracha..utaona kuwa ana uchungu mwingi sana kwa sababu huyu jamaa anajua mengi sana!Anapo mwangalia Kikwete hapo ni kama vile anamwambia.."You think i don't know you huh?"
Mwafrika wa kike Mkapa ana roho mbaya jamani!Yeye na Mahita ni kama mashetani!yani nilikuwa najiuliza hivi kweli hawa ni watanzania wenzetu kweli ama ni nini hasa kinachotufanya tuwe tofauti hivyo?Do we have to be ruthless in order to be leaders?Jmushi,
Hata mimi bado nina makovu ya mabomu ya FFU ambayo walikuwa wanampiga Mrema bila kujali kuwa wanatupiga hata sisi watoto wadogo tuliokwenda kumsikiliza.
Mkapa ndiye amehusika moja kwa moja na kampeni ya kumdhoofisha Mrema na upinzani Tanzania kwa ujumla.
Pole sana Mwafrika wa kike!Ndio historia ya ukombozi wa nchi yetu kutoka kwenye mikono ya mafisadi!Jmushi,
Hata mimi bado nina makovu ya mabomu ya FFU ambayo walikuwa wanampiga Mrema bila kujali kuwa wanatupiga hata sisi watoto wadogo tuliokwenda kumsikiliza.
Mkapa ndiye amehusika moja kwa moja na kampeni ya kumdhoofisha Mrema na upinzani Tanzania kwa ujumla.
Mrema hawezi kupigwa chenga na lugha, ana degree (sijui ya nini vile!!!) aliipata online. Au walikuwa wanamfundisha kwa kiswanglish?
..... Nyumba nzuri kuliko hata ya Mengi huko Kibororoni ameipataje?....