Tegelezeni
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 268
- 124
Habari ambazo hazijathibitishwa, zinabainisha kwamba Mjengo huu uko sokoni na mnunuzi ameshapatikana. majadiliano ya hatua za mwisho yameshafikiwa na si muda mrefu mjengo utabadilishwa tena jina kwa mara ya nne.....Ilianza kama Sheraton, wakaja Legacy Hotel ya South Africa, kisha Movenpick, baadae sijui wanunuzi watakuja na jina gani.....................