Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,894
- 155,916
Hizi tetesi nimezisikia muda mrefu sana, lakini leo ninachokiandika ni ushuhuda wa macho yangu.
Nipo Malaika Beach, amekuja tajiri mmoja mwenye viwanda vya kusimika samaki.
Amevaa shati la purple, suruali nyekundu na viatu vya blue.
Nlipotambulishwa almanusra nizimie.
Nipo Malaika Beach, amekuja tajiri mmoja mwenye viwanda vya kusimika samaki.
Amevaa shati la purple, suruali nyekundu na viatu vya blue.
Nlipotambulishwa almanusra nizimie.