zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,832
- 8,623
Mkuu hizo barabara ni ndoto maana si unajua wakati wa kampeni unaweza kuahidi hata pepo!
mbona nasikia mkandarasi keshaatafutwa?
Mkuu hizo barabara ni ndoto maana si unajua wakati wa kampeni unaweza kuahidi hata pepo!
kwakweli NYANI NGABU nilikua nakuheshimu sn!
Mimi ni mteja mzuri sana wa basi la Shabiby......Naomba nikupinge hapo kwenye nyekundu mkuu....Shabiby ni mojawapo ya makampuni ya mabasi ya usafirishaji wa abiria mbayo inafuata sheria na taratibu za usafirishaji wa abiria,mwendo wao sio wa kasi kama ulivyoandika na kamwe hakuna utaratibu wa kusimamisha abiria(Niko tayari kusahihishwa hapa) wao siku zote wanafuata ule utaratibu wa 'level seat'.......Salaam Wanajamvi na watanzania kwa ujumla!
Niko kwenye basi kutoka Arusha kwenda Dar, na mwendo kidogo tu kufika kibaha maili moja tumekuta basi la shabiby (Dodoma - Dar route) limepinduka likashika moto na kuungua lote.
Nasikia ni watu 3 tu ndo wametoka angalau wakipumua. Kwa maneno mengi roho zote zimeangamia na hata hao watatu hatujui mwisho wao huko hospitalini
Kwa wale wenye uzoefu wa kusafiri la basi la shabib dom-dar watakubaliana na mimi kuwa huwa linapakia watu wengi na pia linaendeshwa kasi sana. And so you can imagine idadi ya watu walopoteza maisha.
Kwa hakika basi lote limeungua moto na kikosi cha fire & rescue cha manispaa ya kibaha imejitahidi kuzima moto but were probably too late and not enough.
Chanzo cha ajali hakikuweza kupatikana na wala picha sijaweza kupiga coz hatukuweza kushuka ndani ya basi letu. Mwenye taarifa zaidi atujuze
Mungu tunusuru na ajali hizi za kila siku ee Mola wetu.
Uwajalie mapumziko na amani ya milele wote hao waliotangulia mbele za haki. Amen
Acha tu waendelee kufa!
Ama kweli wewe ni Nyani..Hata akili yako inafikilia kinyani nyani.
Pumbavu kabisa wewe. Ni bora na wewe ufe tu.
Aaaagh!!kumbe hili li nyani ngabu limesettle hapa somewhere linakula ulabu nalimelewa njwiiii !na ndo mana linaongea mambo ya ki illuminant pambafu!!