Kama vile umenisoma mawazo.
Hii report imeandaliwa na watu wa TISS kisha kina Theo wakapewa tu waisaini.
Mawazo ya Theo hapa ni tofauti na michango ya waandishi wake kama kina Meena, Cherehani, Mabala n.k.
Sijui Theo utawaangalia vipi watu wako hawa kwa kukubali kwako kudhalilishwa kwa kiwango hiki.
Yaani nimeiosoma nikafikiri labda Theo ulitumwa dukani ndio wakaibadilisha, siamini kama umeshiriki humu.
Gazeti la Mwananchi, chini ya Theophil Makunga(sijui ni nduguye DC Novatus Makunga!), linaingia kwenye orodha yangu ya Magazeti yaliyo "Enemies of the people", pamoja na Uhuru, Mzalendo, Daily News, Sunday News, Habari leo, Rai, Al Nuur, na mengne ya mtazamo huo!
Mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe!
Sijui anajipendekeza ili afutiwe ile kesi ya uchochezi, aliyofunguliwa pamoja na Kibanda, baada ya makala ya Mwigamba Nov 2011?