Mpendwa mbona hueleweki sitaki nataka huna msimamo ebooo......!Kaka nimekuelewa vizuri sana ntatafuta mwanamke kumbe maana nakuwa mwingi wa mawazo na mishtuko kibao duh! Ama kweli ongea na watu uvae viatu
Mapenzi ya cku hz yamejaa ukimwi na utapeli hero kukaa tu kufanya mambo yako ya msingi kama mm nilivyoamua
asante mtaalamu kwa elimu nzuri uloileta kwetu lakini wengine sisi tunapata wakati mgumu sana kwa wake zetu ukionekana unaomba unyumba walau mara mbili tatu ndani ya wiki mke anakupa jibu la ajabu, unaambiwa kwani ni chakula hiki kwamba usipopewa utakufa na maneno mengi tu hadi inakera unatamani usioe kabisa uwe na malaya tu wa nje pindi ukijisikia unapitia unagonga afu unasepa basi...kumbe ni afya na inaimarisha mifupa na kuondoa stress/msongo wa mawazo safi sana nitamwelekeza my wife faida yakunipa utamu ni iimarishe afya na kuongeza miaka ya kuishiUmesahau kuandika hupunguza hasira za mara kwa mara.
kaa mueleweshe taratibu. ukitaka asikunyime mtishie umwambie "angalia nisichepuke" walah atakuwa hakujibu tena vbayaasante mtaalamu kwa elimu nzuri uloileta kwetu lakini wengine sisi tunapata wakati mgumu sana kwa wake zetu ukionekana unaomba unyumba walau mara mbili tatu ndani ya wiki mke anakupa jibu la ajabu, unaambiwa kwani ni chakula hiki kwamba usipopewa utakufa na maneno mengi tu hadi inakera unatamani usioe kabisa uwe na malaya tu wa nje pindi ukijisikia unapitia unagonga afu unasepa basi...kumbe ni afya na inaimarisha mifupa na kuondoa stress/msongo wa mawazo safi sana nitamwelekeza my wife faida yakunipa utamu ni iimarishe afya na kuongeza miaka ya kuishi
Hahhah mchepuko hauepukiki .... ila usikamatwe tu njia kuuAsante mtoa mada itabidi mchepuko upatikane usaidie.
Cc @junior.cux
CHAWAPUTAMkuu kama huna g/friend au b/friend itakuwaje hapo?
Tusaidiane njia mbadala bhana yaan plan B
Hapo lazima stress za kutosha zitahusika.Ndio maana siku zingine nakua na mahasira kweli,mawazo kibao kumbe ni kutokusuguliwa eee,sasa kwa sie tulio na wanaune wapo mbali tunafanyaje sasa, si tutapata presha na kunenepeana hovyo,je wivu una faida gani !?
hakuna kitu hapo mbona mie sina huu mwaka wa pili na niko fresh tu....Vingine nikujiendekeza tu naona hakuna cha nin wala nin tafiti mambele sio bongo
The Way You Twist Your Mind,The More you Body Adapt
miss spelling sio ni Adopt ety.....watu mnakazia kwenye point of weakness kama kuna wal vileHauko sawa hata maandishi yanaonyesha
miss spelling sio ni Adopt ety.....watu mnakazia kwenye point of weakness kama kuna wal vile
miss spelling sio ni Adopt ety.....watu mnakazia kwenye point of weakness kama kuna wal vile