alikua anamuiga pdiddy. unajua watoto wa temeke wanajisifia kula. ndo maana kila nyimbo zao lazime wadokeze msosi(nyama choma) au vinywaji. so hapo anawalingishia wenzake wa tmk kwamba kala nyama. Mia
ah haaa haaa haaaaaa..................meipenda hii mkuualikua anamuiga pdiddy. unajua watoto wa temeke wanajisifia kula. ndo maana kila nyimbo zao lazime wadokeze msosi(nyama choma) au vinywaji. so hapo anawalingishia wenzake wa tmk kwamba kala nyama. Mia
ur not serious- poor comment.
huyu mtu ananikera sana na tabia yake ya kukaa na kijiti mdomoni....
Nyie marafiki zake mwambieni huo ni usela mavi...aache kuiga ujinga....
View attachment 44851