unamchukia mtu usiemjua!!! khaa! ye anajua kama unamchukia??!uozo tu!!huna la kufanya ndo maana unaendekeza chuki za kizandiki!
Mi kijiti hakinikeri....isipokuwa maneno ya nyimbo zake... Mara NAZAMA NATOA... Mara SI UNAISIKIA INAVYOKUINGIA?...Huyu mtu ananikera sana na tabia yake ya kukaa na kijiti mdomoni....
nyie marafiki zake mwambieni huo ni usela mavi...aache kuiga ujinga....
View attachment 44851
Na yule wa kupigana kila kukicha na hakai Temeke SIYO MSELA MAVI AU SI MSHAMBA? Ndo maana mnapata shida huko mnakoishi kwenye NYUMBA YA KUPANGA, YA MAMA au ya makuti kwa vile tu JIRANI ANA GHOROFA, SHOW ROOM....etc. KUMBUKA USHAMBA WA MTU HAUTOKANI na mahala anapoishi bali MATENDO YAKE...Sio kilakitu cha kuiga....hata toothpick inapotumiwa hua mtu anajifunika kwa mkono mmoja mdomoni huku akichokoa nyama kwenye meno kwa kutumia mkono mwingine, hii yote ni kuonyesha kuwa kile kitendo kinaweza kumtia mtu kinyaaa...sasa huyu jamaa kutwa nzima yupo nacho....yawezekana kaiga kwa pdiddy au rambo kama mnavosema lakini wale huitumia kwenye shughuli flani tu, either kwenye movie au vinginevyo lakini hadi kwenye mahojiano ya tv yupo nacho mtaani yupo nacho watu wa temeke bwana ushamba tu.....mwambieni huo ni usela mavi.....
Ur not serious- poor comment.
angekua anamjua angemfata akamwambia! wengine hayatuhusu!!!anamjua ndo maana kaandika jina na habari yake!......usipanic!
wasikilize. kwa mfano kwenye wimbo;
1.dar-moro. kwenye friji vimiminika na makulaji..
2.nampenda yeye-sema nini unataka" chips kuku"
3.changanya mishikaki pilipili kwa mbali katika wimbo wa twende zetu. yaani wao kila nyimbo zao lazima waongelee misosi na vinywaji. ningekuwa nmetulia ningekuwekea kama nyimbo 20 za wasanii wa temeke. Mia
angekua anamjua angemfata akamwambia! wengine hayatuhusu!!!
Sio kilakitu cha kuiga....hata toothpick inapotumiwa hua mtu anajifunika kwa mkono mmoja mdomoni huku akichokoa nyama kwenye meno kwa kutumia mkono mwingine, hii yote ni kuonyesha kuwa kile kitendo kinaweza kumtia mtu kinyaaa...sasa huyu jamaa kutwa nzima yupo nacho....yawezekana kaiga kwa pdiddy au rambo kama mnavosema lakini wale huitumia kwenye shughuli flani tu, either kwenye movie au vinginevyo lakini hadi kwenye mahojiano ya tv yupo nacho mtaani yupo nacho watu wa temeke bwana ushamba tu.....mwambieni huo ni usela mavi.....
ngoja na mie nianze kutembea na mswaki wa mti mdomoni......................
mm pia simpendi..sio kwa sababu ya kijiti mdomoni..ila kwa sababu hajui kuchana! Halafu anajiita rapper! Nyimbo zao na yule mwenzie chegge! Sijui ni mdundiko, kiduku, au chakacha! Midundo na tone zilizomo haitambulishi aina ya muziki wanaoimba!
jifunzeni kuheshimu maisha ya watu wengine ikiwa tu hawavunji sheria na hawana madhara yoyote kiafya, kiimani na kitamaduni. mnapewa mifano ya mastaa kibao duniani waliochagua styles fulani na inakuwa poa tu. tatizo mnaendekeza
sana! mtapata shida mkienda nje ya bongo, angekuwa anajichokonoa akitembea nacho kweli lakini yeye anaweka tu.
wasikilize. kwa mfano kwenye wimbo;
1.dar-moro. kwenye friji vimiminika na makulaji..
2.nampenda yeye-sema nini unataka" chips kuku"
3.changanya mishikaki pilipili kwa mbali katika wimbo wa twende zetu. yaani wao kila nyimbo zao lazima waongelee misosi na vinywaji. ningekuwa nmetulia ningekuwekea kama nyimbo 20 za wasanii wa temeke. Mia
wasikilize. kwa mfano kwenye wimbo;
1.dar-moro. kwenye friji vimiminika na makulaji..
2.nampenda yeye-sema nini unataka" chips kuku"
3.changanya mishikaki pilipili kwa mbali katika wimbo wa twende zetu. yaani wao kila nyimbo zao lazima waongelee misosi na vinywaji. ningekuwa nmetulia ningekuwekea kama nyimbo 20 za wasanii wa temeke. Mia