Chege kukubali kujiunga TNC ni kujirudisha nyuma kimuziki

Vesper-valens

JF-Expert Member
Mar 6, 2020
5,287
7,388
Wakuu kwema?

Ebhana leo nimeona niongelee hii issue, Kuna Kundi jipya limezinduliwa siku za hivi karibuni (TNC)
TNC inaundwa na member wa tatu kutoka TMK wanaume family ambayo baadaye ilikuja kuvunjika na kuzaliwa makundi mawili yani TMK halisi na TMK family

Wazo la kuanzisha TNC naamini mwenye idea aliangalia vichwa vitatu katika kundi la TMK family wakapatikana Juma nature, Mh temba na Chege chigunda

Hivi vichwa vyote vilishawai kufanya vizuri sana kwenye muziki wa bongo fleva miaka ya nyuma lakini sio wote walioweza ku maintain mpaka sasa coz muziki wa sasa umebadilika kidogo kutokana na wakati

Tukiongelea ukweli kwenye TNC, Chege pekee ndio mpaka sasa anaweza akasimama mwenyewe na kutengeza Hit song, Lakini Mh temba na Juma nature ni kama muziki ushawaacha sana, yani hawana uwezo tena wa kutengeneza muziki utakao pendwa na kizazi cha sasa tofauti na Chege

Kuanzia kwenye branding chege ameweza kukimbizana na mahitaji ya soko la sasa, ukija kwa influence Chege ana mashabiki wengi kuliko wenzake ushahidi upo hata kwenye page yake ya instagram, kwenye interviews chege yuko smart sana kwenye kujibu, ukilinganisha na hawa wengine hususani juma nature

Haya yote chege ameweza kuwaacha sana nyuma wenzake kutokana na ukweli.jamaa alishaanza kujichanganya tangu zamani sana, licha ya kuwa member wa TMK hakua anaishi temeke kama hawa wenzake ambao miaka nenda rudi swaga zao ni zile zile hawataki kubadilika.

Ukija kwa juma nature licha ya kua na talent kubwa sana ila amepotea kutokana na ukweli watu walio nyuma yake sio sahihi, hawana cha maana wanacho mshauri zaidi ya kushinda bar kunywa pombe,

Mh temba naye hana kipaji kikubwa sana cha kuweza kufanya muziki pekee yake, combination yake yeye na chege ilimsaidia sana kukua kimuziki.

Ukiyangalia haya yote unaona kabisa kuwa Chege alivyokubali kurudi kuungana na hawa ndugu zake ni wazi amekubali kujirudisha nyuma kimuziki

Au nyie mnaonaje wadau?
 
Wakuu kwema?

Ebhana leo nimeona niongelee hii issue, Kuna Kundi jipya limezinduliwa siku za hivi karibuni (TNC)
TNC inaundwa na member wa tatu kutoka TMK wanaume family ambayo baadaye ilikuja kuvunjika na kuzaliwa makundi mawili yani TMK halisi na TMK family

Wazo la kuanzisha TNC naamini mwenye idea aliangalia vichwa vitatu katika kundi la TMK family wakapatikana Juma nature, Mh temba na Chege chigunda

Hivi vichwa vyote vilishawai kufanya vizuri sana kwenye muziki wa bongo fleva miaka ya nyuma lakini sio wote walioweza ku maintain mpaka sasa coz muziki wa sasa umebadilika kidogo kutokana na wakati

Tukiongelea ukweli kwenye TNC , Chege pekee ndio mpaka sasa anaweza akasimama mwenyewe na kutengeza Hit song, Lakini Mh temba na Juma nature ni kama.muziki ushawaacha sana ,yan hawana uwezo tena wa kutengeneza muziki utakao pendwa na kizazi cha sasa tofauti na Chege

Kuanzia kwenye branding chege ameweza kukimbizana na mahitaji ya soko la sasa, ukija kwa influence Chege ana mashabiki wengi kuliko wenzake ushahidi upo hata kwenye page yake ya instagram,kwenye interviews chege yuko smart sana kwenye kujibu ,ukilinganisha na hawa wengine hususani juma nature

Haya yote chege ameweza kuwaacha sana nyuma wenzake kutokana na ukweli.jamaa alishaanza kujichanganya tangu zamani sana, licha ya kuwa member wa TMK hakua anaishi temeke kama hawa wenzake ambao miaka nenda rudi swaga zao ni zile zile hawataki kubadilika.

Ukija kwa juma nature licha ya kua na talent kubwa sana ila amepotea kutokana na ukweli watu walio nyuma yake sio sahihi, hawana cha maana wanacho mshauri zaidi ya kushindwa bar kunywa pombe,

Mh temba naye hana kipaji kikubwa sana cha kuweza kufanya muziki pekee yake ,combination yake yeye na chege ilimsaidia sana kukua kimuziki.

Ukiyangalia haya yote unaona kabisa kuwa Chege alovyokubali kurudi kuungana na hawa ndugu zake ni wazi amekubali kujirudisha nyuma kimuziki

Au nyie mnaonaje wadau?
What if kama Chege ameamua kuwainua tena Wana warudi kwenye muziki?
 
Wakuu kwema?

Ebhana leo nimeona niongelee hii issue, Kuna Kundi jipya limezinduliwa siku za hivi karibuni (TNC)
TNC inaundwa na member wa tatu kutoka TMK wanaume family ambayo baadaye ilikuja kuvunjika na kuzaliwa makundi mawili yani TMK halisi na TMK family

Wazo la kuanzisha TNC naamini mwenye idea aliangalia vichwa vitatu katika kundi la TMK family wakapatikana Juma nature, Mh temba na Chege chigunda

Hivi vichwa vyote vilishawai kufanya vizuri sana kwenye muziki wa bongo fleva miaka ya nyuma lakini sio wote walioweza ku maintain mpaka sasa coz muziki wa sasa umebadilika kidogo kutokana na wakati

Tukiongelea ukweli kwenye TNC , Chege pekee ndio mpaka sasa anaweza akasimama mwenyewe na kutengeza Hit song, Lakini Mh temba na Juma nature ni kama.muziki ushawaacha sana ,yan hawana uwezo tena wa kutengeneza muziki utakao pendwa na kizazi cha sasa tofauti na Chege

Kuanzia kwenye branding chege ameweza kukimbizana na mahitaji ya soko la sasa, ukija kwa influence Chege ana mashabiki wengi kuliko wenzake ushahidi upo hata kwenye page yake ya instagram,kwenye interviews chege yuko smart sana kwenye kujibu ,ukilinganisha na hawa wengine hususani juma nature

Haya yote chege ameweza kuwaacha sana nyuma wenzake kutokana na ukweli.jamaa alishaanza kujichanganya tangu zamani sana, licha ya kuwa member wa TMK hakua anaishi temeke kama hawa wenzake ambao miaka nenda rudi swaga zao ni zile zile hawataki kubadilika.

Ukija kwa juma nature licha ya kua na talent kubwa sana ila amepotea kutokana na ukweli watu walio nyuma yake sio sahihi, hawana cha maana wanacho mshauri zaidi ya kushindwa bar kunywa pombe,

Mh temba naye hana kipaji kikubwa sana cha kuweza kufanya muziki pekee yake ,combination yake yeye na chege ilimsaidia sana kukua kimuziki.

Ukiyangalia haya yote unaona kabisa kuwa Chege alovyokubali kurudi kuungana na hawa ndugu zake ni wazi amekubali kujirudisha nyuma kimuziki

Au nyie mnaonaje wadau?
Sahihi kabisa, Chege anajirudisha nyuma kufanya kazi na hao watu. Kwa kizazi hiki hakuna atachoweza kufanya Juma Nature watu wakampa sikio.
 
Wakuu kwema?

Ebhana leo nimeona niongelee hii issue, Kuna Kundi jipya limezinduliwa siku za hivi karibuni (TNC)
TNC inaundwa na member wa tatu kutoka TMK wanaume family ambayo baadaye ilikuja kuvunjika na kuzaliwa makundi mawili yani TMK halisi na TMK family

Wazo la kuanzisha TNC naamini mwenye idea aliangalia vichwa vitatu katika kundi la TMK family wakapatikana Juma nature, Mh temba na Chege chigunda

Hivi vichwa vyote vilishawai kufanya vizuri sana kwenye muziki wa bongo fleva miaka ya nyuma lakini sio wote walioweza ku maintain mpaka sasa coz muziki wa sasa umebadilika kidogo kutokana na wakati

Tukiongelea ukweli kwenye TNC , Chege pekee ndio mpaka sasa anaweza akasimama mwenyewe na kutengeza Hit song, Lakini Mh temba na Juma nature ni kama.muziki ushawaacha sana ,yan hawana uwezo tena wa kutengeneza muziki utakao pendwa na kizazi cha sasa tofauti na Chege

Kuanzia kwenye branding chege ameweza kukimbizana na mahitaji ya soko la sasa, ukija kwa influence Chege ana mashabiki wengi kuliko wenzake ushahidi upo hata kwenye page yake ya instagram,kwenye interviews chege yuko smart sana kwenye kujibu ,ukilinganisha na hawa wengine hususani juma nature

Haya yote chege ameweza kuwaacha sana nyuma wenzake kutokana na ukweli.jamaa alishaanza kujichanganya tangu zamani sana, licha ya kuwa member wa TMK hakua anaishi temeke kama hawa wenzake ambao miaka nenda rudi swaga zao ni zile zile hawataki kubadilika.

Ukija kwa juma nature licha ya kua na talent kubwa sana ila amepotea kutokana na ukweli watu walio nyuma yake sio sahihi, hawana cha maana wanacho mshauri zaidi ya kushindwa bar kunywa pombe,

Mh temba naye hana kipaji kikubwa sana cha kuweza kufanya muziki pekee yake ,combination yake yeye na chege ilimsaidia sana kukua kimuziki.

Ukiyangalia haya yote unaona kabisa kuwa Chege alovyokubali kurudi kuungana na hawa ndugu zake ni wazi amekubali kujirudisha nyuma kimuziki

Au nyie mnaonaje wadau?
Imagine nature Angeimba mtoto idi sa hv , hlo lisong bado Lina vibe
 
Kaka mm pia nilikuwa nashangaa sana sasa temba anaimba nn nyakati hizi?. Chege pia meangalia interview yake kazidisha pombe uso na sauti sio.ajitoe maana ana mambo ya kujifanya siwezi sijui waacha wana ( mawazo ya kibangi bangi)
 
Hao watu inabidi waumize kichwa kwelikweli kuweza kusimama tena. Kama hawana kazi zingine nje ya muziki basi ni majanga. Hiki kizazi cha Amapiano hakiwezi kuelewa chochote kutoka kwa Nature. Pia ni kizazi kisicho na huruma wala adabu. Hakiangalii historia yako. Ali Kiba mwenyewe huwa anaambiwa ni mzee... yaani balaa tupu.
 
hii tnc si ina mwaka sasa
na mpaka Mh. waziri (chengerwa) alifika kwenye uzinduzi usinambie hakuna project yoyote iliyotoka, au bado wako kwenye maandalizi ?
 
Bila shaka kifo cha TNC kimekuja baada ya majibu ya nature kuhusu kulipwa laki 5 kwa shoo (Wasafi Festival). Yale majibu members wenzake hawakumuunga mkono so jamaa kaonekana kama msaliti hivi akaona isiwe kesi.
 
Bila shaka kifo cha TNC kimekuja baada ya majibu ya nature kuhusu kulipwa laki 5 kwa shoo (Wasafi Festival). Yale majibu members wenzake hawakumuunga mkono so jamaa kaonekana kama msaliti hivi akaona isiwe kesi.
Hivi hili swala la nature kupewa 500k lina ukweli?
 
Back
Top Bottom