Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,958
- 95,284
Wakati mwingine najiona kama najishushia hadhi yanguMbowe kashaamua sasa, wewe kidagaa tu hapo chadema huna maamuzi yeyote
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati mwingine najiona kama najishushia hadhi yanguMbowe kashaamua sasa, wewe kidagaa tu hapo chadema huna maamuzi yeyote
Cdm haiwezi, haitoomba radhi pasipo stahili kuomba radhiHaya sasa bavicha mlisema hamuombi radhi
Chato inatoshamtalia mchozi nakwambia na mlivojitolea sasa apa JF na izi pumba zenu
I thought so. TBC na CCM ni kama Chanda & Pete. Huwezi attack CCM na TBC wakakuacha hewani.Wakiongea ujinga tunakata tena! No way!
Nakazia hapaItanichukua muda kupata imani na tbccm.
Mambo yanaenda bila wasanii 200 wenzenu hawafanyi matamasha wala kununua vituo vya TvSi mlisema hamuombi samahani? Imekuaje tena? Mmeona mambo hayaendi?
Hapa ni kuutafuta usawa was jinsi habari zinavyo tolewa na sii zaidi ya Hilo .kwani wanayo nafasi ya kupotosha pindi wakiamua kufanya hivyo,Kama kuonyesha Hali ya kukubalika kwa chama Fulani kwa maana ya wingi au uchache wa wahudhuriaji.Faida gani kwa Chadema imepatikana kwa kuweza kufanya maridhiano na TBC ?
Kwa mujibu wa ilani ya CDM,moja kati ya mambo ya muhimu ambayo Chadema wameahidi kuyafanya ndani ya siku mia moja ni pamoja na maridhiano,kama inavyosema ilani haya yafuatayo :
"Serikali itapeleka Bungeni Muswada wa Sheria ya Maridhiano, ambayo pamoja na mambo mengine itaanzisha Tume ya Maridhiano kwa lengo la kuondoa hofu ya uwezekano wa vitendo vya kulipiza visasi na kuunganisha nguvu za wananchi wote bila ubaguzi wa vyama katika kuongoza Taifa letu''.
Hivyo kama Chadema wangeweza kumaliza siku thelathini bila ya kupata maridhiano na TBC wangeonekana kweli hawana uwezo wa kuleta maridhiano mengine,kama maridhiano haya madogo yamewashinda.
Mtego huu wameuvuka salama.
Si mlisema hamuombi samahani? Imekuaje tena? Mmeona mambo hayaendi?
Walie wakati wanakila kitu unafikiri na wao wanatoa mabakuli ya kuomba michango ya pesa kama wanasaccos??
Sheria za utangazajj haziruhusu kuonyesha au kutangaza mtu akimwaattack mwingine bila kumpa nafasi mwingine kujitetea. Lazima ubalance habariI thought so. TBC na CCM ni kama Chanda & Pete. Huwezi attack CCM na TBC wakakuacha hewani.
Haya “maelewano” hayana tija in a big picture na yamelenga kuondoa tu ile sintofahamu ya kufukuzana kwa aibu kutoka mkutanoni
TBC ndio wamenyoosha mikono nyoko!Vipi Wanasaccos wamenyosha mkono!!?
Si mlisema hamuombi samahani? Imekuaje tena? Mmeona mambo hayaendi?