Uchaguzi 2020 TEF yamaliza Mgogoro wa TBC na CHADEMA, wapeana Mkono

Sijapendezwa na cdm kuelewena na hao mabazazi, ilipaswa wawapotezee mazima. Hakuna muda wa kubembelezana na vibaraka wa chama cha wazee.
 
Haina haja ya kutumia tbc hao ni wajinga sana wataendeleza tu ujinga wao hawataacha , subirini mtaona hao washiriki wa kikao hicho wote ni kijani kibichi wamesahau tu kuvaa magwanda ya kijani kuficha uhalisia wao.
 
Sijapendezwa na cdm kuelewena na hao mabazazi, ilipaswa wawapotezee mazima. Hakuna muda wa kubembelezana na vibaraka wa chama cha wazee.
Sasa wewe kwenye Saccos ya Mwenyekiti Faru John una umuhimu gani?? Wewe ni mpiga debe tu!
 
Asante kwa kunitukana "Nyoko"! Mungu akuongezee ujinga huo ili uweze pia kutukana wazazi wako!!
Nisamehe mtani!! Ila mwaka huu tunawagegeda wakavu wakavu! Mkijidai kuiba kura tunaingiza raia barabarani maana mwaka huu hatukubaki kuibiwa kiboya!
 
Sheria za utangazajj haziruhusu kuonyesha au kutangaza mtu akimwaattack mwingine bila kumpa nafasi mwingine kujitetea. Lazima ubalance habari
Hapo natofautiana na wengi,na huwa najaribu kukumbushia mapungufu ya utungaji was Sheria zetu.Nawarudisha watu nyuma kutafakari miswaada ya hati za dharura, Mara nyingi Zina lenga Mambo mahsusi ,kwa watu mahsusi,kwa malengo mahsusi na ukiangalia kwa undani huwa Zina hasara kwa wengi zaidi ya faida.isipokuwa chache ambazo kweli zinahitajika katika dharura zile zinazo tambulika kikatiba.
 
Nisamehe mtani!! Ila mwaka huu tunawagegeda wakavu wakavu! Mkijidai kuiba kura tunaingiza raia barabarani maana mwaka huu hatukubaki kuibiwa kiboya!
Tumewaengua kwenye uchaguzi zaidi ya wabunge 18 madiwani 500 lakini mmeufyata mnajua, kabisa mkiingia barabarani nini kitatokea.
 
Back
Top Bottom