Wanyooke kwa lipi? Hawana hasara hata senti moja!TBC wamenyoosha mikono
Wanyooke kwa lipi? Hawana hasara hata senti moja!TBC wamenyoosha mikono
Huyo ni zaidi ya Kipaza sauti tu hana lolote ujuwaloMbona lugha iliyotumika ni rahisi unakwama wapi!
Hata sisi cdm hatuwataki kabisa wasije kutuletea gunduWamepewa maelekezo kutorusha habari za CHADEMA!
Bosco unamjua nimaguBasi saccos itanyoka!
Wachana nao hao wanao sumbuliwa na njaaSasa wale "masalakumbwete" wa Pwani waliotoa tamko la kutoandika habari za Chadema itakuaje!!?
Nawaona kama mikosi tuKwanza TBC Mimi ninamiaka 15 sijawaiga kuitazama, nashangaa kusikia Eti TBC bado hiko hai.
Bosco yuko ICU huu ndo mwisho wa ccm hakika.
Huwezi ukashindana na TBC ukashinda. Chadema wameenda kuomba poo. Hili ni funzo kwa lissu tabia ya kuropoka hivyo mwisho wake hua ni aibu kama aliyoipata Mbowe.Vipi Wanasaccos wamenyosha mkono!!?
Simjui ndiyo nani?Bosco unamjua nimagu
Wachana na Mbowe wewe usiye julikana usije uka mpyuuuuuu pyuuuuuu
mbowe mwenyewe kaona umuhimu wa kupatana wew unaongea nn
Na wakileta tena ujinga wao wa kukata kata matangazo ya cdm tunawatimua woote bila kujali kama tumepatanishwaNawapongeza sana TEF kwa jitihada zao na kutambua umuhimu wa uhirikiano baina vyama vya upinzani na media hasa TBC.
Vinginevyo ni jambo jema kwamba mkurugenzi wa TBC ameysona mapungufu yao.
Ni habari njema.
Safi sana, hili litaleta afya. Tunajenga nyumba mojaSalaam Wakuu,
Baraza la Wahariri Tanzania (TEF) limemaliza Mgogoro kati ya Shirika la Utangazaji Tanzania(TBC) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA...
Tutawatimua tena hilo halina mjadalaZile Camera angle zao na kukata sauti hawataacha hicho ni kitengo cha propaganda cha CCM
Katika hili aliyekua anaumia ni cdm wala sio TBC. Ndio maana cdm wameenda kuomba poo. Nimechukia Sana.Chadema hawabebeki. Watarudia tu madudu
Tuzidi kumuomba Mungu atende miujiza yakeBosco yuko ICU huu ndo mwisho wa ccm hakika.
Wacha uzumbukuku wewe gamba, tangu lini cdm imeomba msaada wa li tbc lenu?Huwezi ukashindana na TBC ukashinda. Chadema wameenda kuomba poo.
Hili ni funzo kwa lissu tabia ya kuropoka hivyo mwisho wake hua ni aibu kama aliyoipata Mbowe.
Chadema mpinzani wenu ni ccm. Sio vyombo vya uchaguzi.
Heri wapatanishi maana hao wataitwa wana wa Mungu ...hapa hakuna mshindi wala mshindwa...Salaam Wakuu,
Baraza la Wahariri Tanzania (TEF) limemaliza Mgogoro kati ya Shirika la Utangazaji Tanzania(TBC) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA...
Wachana na Mbowe wewe usiye julikana usije uka mpyuuuuuu pyuuuuuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Watajificha chatomwaka huu yaaani ni kirahisi sana mpka mjengoni, sjui hawa wanawake wapambe wa mbowe watajificha wap