Tecno sasa inapokea Updates

Mi sijaisikia hio android 5.2, maana google hajaitoa, ilivyotoka 5.1 moja kwa moja watu wakaenda android M (marshamallow) aka android 6.

Muanzisha nada hebu tuambie hio android 5.2 ipoje?

Na update ya h na h+ hio Ni gimmick sababu kinachosuport aina Fulani ya network Ni modem ya simu (hardware) hivyo kusema umepata update ikaongeza h inatia mashaka

Na kufix hizo bugs imefix nini?

Kampuni isio na ofisi anaetuma hizo update Ni nani?



Jina lako lina reflect personality yako. ..

Mkuu hongera saana, shida sisi wa Tanzania hatuna proffesionalism watu wanapenda kuchukua advantage ya wengine kutokufahamu..

Hii imeleta shida hata kufanya biashara kwa kampuni na biashara ambazo ni start upa coz waliotangulia walikhwa head fast on cheddar....


Bro @Chief-Mkwawa well said ubarikiwe sana kuwa na moyi huo wa kuhoji utata mbaya zaidi uliopresentiwa na mtu mwengine ambaye nayeye ni mtalaam..

Mleta mada nipo miongoni wa wasubiri majibu aliyouliza mkuu Mkwawa Mtwa..

Namasté
 
Yah hizo Ni update za kawaida za skin ya tecno (sijui initwaje) na si update za os yaani android.

Though sio mbaya ILA bado sana


Smart bro...

Upo vizuri sectio hii..

Nahitaji simu ya 100,000 simple iwe smart phone android camera 2

Chief please advice
 
Smart bro...

Upo vizuri sectio hii..

Nahitaji simu ya 100,000 simple iwe smart phone android camera 2

Chief please advice
kwa budget ya 100,000 unakuwa huna choice kubwa sana ushauri wangu tafuta simu ambayo ina ruzuku za mitandao ya simu kama tigo, voda, halotel na airtel

na sasa hivi kuna offer za sikukuu unaweza pata simu nzuri kidogo. zunguka maduka ya hio mitandao then angalia kama utapata

ila hakikisha kwa android usishuke chini ya 1gb ram, japo itakuwa ngumu kupata ila ndio uhalisia.
 
Yah hizo Ni update za kawaida za skin ya tecno (sijui initwaje) na si update za os yaani android.

Though sio mbaya ILA bado sana
Daaaaah Mi mpaka Sasa Hivi Samsung Hawajanipa OTA ya Note 3 N900 ila Kwa Note 3 N9005 Nimeona Tayari Wana Update ya Lollipop 5.0
 
kwa budget ya 100,000 unakuwa huna choice kubwa sana ushauri wangu tafuta simu ambayo ina ruzuku za mitandao ya simu kama tigo, voda, halotel na airtel

na sasa hivi kuna offer za sikukuu unaweza pata simu nzuri kidogo. zunguka maduka ya hio mitandao then angalia kama utapata

ila hakikisha kwa android usishuke chini ya 1gb ram, japo itakuwa ngumu kupata ila ndio uhalisia.


Asante bro..
Kuwa safe budget inatakiwa ifike kwa kama 200K hiv?
 
Daaaaah Mi mpaka Sasa Hivi Samsung Hawajanipa OTA ya Note 3 N900 ila Kwa Note 3 N9005 Nimeona Tayari Wana Update ya Lollipop 5.0

masoko muhimu kama usa, china, korea nk wanakuwa na version zao tofauti wakati sisi wa international tunakuwa na version yetu ambayo siku zote inakuwa ya mwisho mwisho kupata updates

jaribu kucheki updates na kies
 
Asante bro..
Kuwa safe budget inatakiwa ifike kwa kama 200K hiv?

jinsi inavyoongezeka ndio jinsi ujavyokuwa na simu nyingi za kuchagua.

kwa 2016 cha muhimu hakikisha simu yako ina 4g, ram atleast 1gb, processor ya 64bit au kama ni 32bit iwe highend.
 
Why people relying on blogs and opinions from others? Kila mara nasema hizo sababu za kawaida saaana, eti mediatek, eti tecno hawana kiwanda, sijui haipo gsmarena. Hivi ni viji sababu masikini sana nilishatumia tecno na simu zingine . Tecno ni simu kama ilivyo huawei, samsung htc . Kwani lazima ulinganishe P3 na S4?

Kama ni processor , MTK ni popular (naomba wazee wa micro-electronics wanikosoe) na imetumiwa na HTC,HUAWEI,SONY,HISENSE etc etc. So issue ya Mtk sio sababu
 
Why people relying on blogs and opinions from others? Kila mara nasema hizo sababu za kawaida saaana, eti mediatek, eti tecno hawana kiwanda, sijui haipo gsmarena. Hivi ni viji sababu masikini sana nilishatumia tecno na simu zingine . Tecno ni simu kama ilivyo huawei, samsung htc . Kwani lazima ulinganishe P3 na S4?

Kama ni processor , MTK ni popular (naomba wazee wa micro-electronics wanikosoe) na imetumiwa na HTC,HUAWEI,SONY,HISENSE etc etc. So issue ya Mtk sio sababu

yap zinatumiwa na oem wakubwa ila umeshawahi kufanya hata research ya dakika mbili kuhusu utofauti wa simu za mediatek na za qualcomm au exynos za kampuni moja?

hebu search tofauti ya meizu mx5 na meizu pro 5, au xperia c5 na wenzake wa qualcomm uone. sony ilikuwa ni moja ya kampuni inayosifika kwenye battery life na simu kama z3c zinakaa na chaji kupita kiasi kwa kibattery kidogo cha 2600mah, ila cheki za mediatek sasa ni aibu.

kuhusu tecno zipo sababu nyingi na kila siku naongea na kila siku nawauliza hili swali na kila siku hamulijibu na leo pia nitaliuliza tena. JE NI TEST GANI AU NI NCHI IPI TECNO IMEPASS SAR VALUE KUWA INAFAA KWA MATUMIZI YA BINADAMU? leo hii waziri husika au wewe munatuhakikishia vipi kuwa simu zote za kichina zinazouzwa Africa tu ni salama kwetu?

leo hii zikija kugundulika zina madhara kwa kampuni ya simu hata isiojulikana HQ zipo wapi utamdaka nani?

siku nyengine usifananishe kabisa Tecno na Huawei/Samsung/Sony/Lg nk
 
Hio ndio version ya mwanzo ya lolipop. Kama upo lolipop na ukapata lolipop ilitakiwa iwe 5.1 ambayo Ni refresh ya lolipop kabla kuja 6

@Chief-Mkwawa sorry natumia sumsung Grand prime ina android version 4.4.4 Kitkat but nataka kuiupdate iende kwenye lollipop ila sijui jinsi ya ku update, naomba unielekeze Jinsi ya ku update kama hutojari.
 
masoko muhimu kama usa, china, korea nk wanakuwa na version zao tofauti wakati sisi wa international tunakuwa na version yetu ambayo siku zote inakuwa ya mwisho mwisho kupata updates

jaribu kucheki updates na kies
Asante
 
@Chief-Mkwawa sorry natumia sumsung Grand prime ina android version 4.4.4 Kitkat but nataka kuiupdate iende kwenye lollipop ila sijui jinsi ya ku update, naomba unielekeze Jinsi ya ku update kama hutojari.
nenda setting then about then software updates angalia kama ipo, kama hakuna download kies kwa pc then tumia hio kuangalizia updates.
 
Back
Top Bottom