Mkuu tecno ni kwa matumizi ya kiumbe gani kama sio binadamu?sababu za kutonunua tecno ni nyingi hiyo ya mediatek ni moja kati ya sababu zaidi ya 10.
nionyeshe sehemu yoyote duniani kuwa TECNO imepass test za radiation (SAR) na kwamba inafaa kwa matumizi ya binadamu
kwani yale maziwa yaliyopigwa marufuku, au kk sukari, au dawa za malaria za sp walitengenezewa wanyama?Mkuu tecno ni kwa matumizi ya kiumbe gani kama sio binadamu?
Chief Mkwawa ni simu gani nzuri naweza pata kwa tsh 300,000 _ 500,000 ?
ok . Shukrani mkuu...Tafuta lg g2 kwa budget hio, utapata simu nzuri kushinda hata flagship ya tecno p5.
kuna jamaa anaziuza 350,000 jukwaa la matangazo ila am not sure kama ni mpya/zina quality nzuri.
Habar chief,naomba msaada nimedownload apk ya game ambalo lipo cracked ila kila nikilifungua inaandika"no suitable application to open this file"....naomba msaada wakoMi sijaisikia hio android 5.2, maana google hajaitoa, ilivyotoka 5.1 moja kwa moja watu wakaenda android M (marshamallow) aka android 6.
Muanzisha nada hebu tuambie hio android 5.2 ipoje?
Na update ya h na h+ hio Ni gimmick sababu kinachosuport aina Fulani ya network Ni modem ya simu (hardware) hivyo kusema umepata update ikaongeza h inatia mashaka
Na kufix hizo bugs imefix nini?
Kampuni isio na ofisi anaetuma hizo update Ni nani?
Habar chief,naomba msaada nimedownload apk ya game ambalo lipo cracked ila kila nikilifungua inaandika"no suitable application to open this file"....naomba msaada wako
Thanks.....ngoja nijaribupengine ipo mfumo wa zip au rar nasimu yako haiwez fungua.
nenda store download es file explorer then fungua hilo game kwa kutumia es
Chief,Nimejarbu ila sijafanikiwapengine ipo mfumo wa zip au rar nasimu yako haiwez fungua.
nenda store download es file explorer then fungua hilo game kwa kutumia es
Chief,Nimejarbu ila sijafanikiwa
Nimefany km ulivyonielkeza lkn cha ajabu baad ya kulfungua likaanza kujidownload tena na kuleta version ya kwny Playstore na sio ile crackedes imetoa error gani?
unatakiwa ufungue es then uende folder la download then ufungue hio package ukiwa ndani ya es
Nimefany km ulivyonielkeza lkn cha ajabu baad ya kulfungua likaanza kujidownload tena na kuleta version ya kwny Playstore na sio ile cracked