Tecno phantom a+ (f7)

Spellan

JF-Expert Member
Jun 15, 2011
307
14
Wanateknolojia mwenye kutumia simu hii anipe darasa kidogo apa. Nawezaje kufree internal memory ya simu yangu? Nina applications chache lakini inaonekana internal memory imejaa nimeuninstall baadhi ya appl lakini bado,, nimeondosha baadhi ya appl pia kwenda kwenye SD card, nina clean master app, bado inaonekana imejaa kwa 98%. Siwezi ku-update wala kuinstall app mpya. Msaada tafadhali!
 
Nenda settings then storage then angalia hiyo snap ..ie weka sd card then cm ita transfer files zote kwenda sd card ...
 

Attachments

  • 1392539755487.jpg
    1392539755487.jpg
    33.4 KB · Views: 175
Hamna mafanikio kaka! nimefuata maelekezo ya wadau kwa makini lakini hakuna kinachobadilika.


Hapo ndipo tofauti ya tecno na simu nyingine inapoonekana ie HTC ONE, SAMSUNG S1..... Kitu ulichoelezwa ni sawa lakini kuna application za kuhamisha sio zote zinakubali kwenda kwenye SD, na nyingine zinakuwa automatic installed kwenye internal memory. Kwa hiyo kama ni mtu unaependa sana kuinstalled applications nyingi kwenye cmu tecno sio mahali pake waache watu wanaoishia kwenye WhatsApp, viber, telegram, Nimbuzz, wechat etc lakini kama unataka kuweka vitu vingi sana tafuta cmu yenye internal kubwa. Wajanja walishaona hilo tatizo ndio maana utakuta simu kama htc one ina internal ya 32GB, samsung s4 16GB, sasa kuna mtu atakwambia mimi cmu ya internal memory ya 2GB inatosha akishazoea tu anaona haimfai tena. Utakuta kuna msg Update available ukiclick kuinstall utaambiwa memory full aisee unaichukiaje cmu. Hapo bado issue ya speed ya processor lazima urudi kwenye cmu za maana. Wewe inaonekana ni mtu wa kupenda application nyingi nakushauli uza hiyo cmu waachie wageni wa technologia wewe umeshakuwa mzoefu chukua kitu cha maana.
 
Hapo ndipo tofauti ya tecno na simu nyingine inapoonekana ie HTC ONE, SAMSUNG S1..... Kitu ulichoelezwa ni sawa lakini kuna application za kuhamisha sio zote zinakubali kwenda kwenye SD, na nyingine zinakuwa automatic installed kwenye internal memory. Kwa hiyo kama ni mtu unaependa sana kuinstalled applications nyingi kwenye cmu tecno sio mahali pake waache watu wanaoishia kwenye WhatsApp, viber, telegram, Nimbuzz, wechat etc lakini kama unataka kuweka vitu vingi sana tafuta cmu yenye internal kubwa. Wajanja walishaona hilo tatizo ndio maana utakuta simu kama htc one ina internal ya 32GB, samsung s4 16GB, sasa kuna mtu atakwambia mimi cmu ya internal memory ya 2GB inatosha akishazoea tu anaona haimfai tena. Utakuta kuna msg Update available ukiclick kuinstall utaambiwa memory full aisee unaichukiaje cmu. Hapo bado issue ya speed ya processor lazima urudi kwenye cmu za maana. Wewe inaonekana ni mtu wa kupenda application nyingi nakushauli uza hiyo cmu waachie wageni wa technologia wewe umeshakuwa mzoefu chukua kitu cha maana.

Nimekusoma Kibirizi.
 
Hapo ndipo tofauti ya tecno na simu nyingine inapoonekana ie HTC ONE, SAMSUNG S1..... Kitu ulichoelezwa ni sawa lakini kuna application za kuhamisha sio zote zinakubali kwenda kwenye SD, na nyingine zinakuwa automatic installed kwenye internal memory. Kwa hiyo kama ni mtu unaependa sana kuinstalled applications nyingi kwenye cmu tecno sio mahali pake waache watu wanaoishia kwenye WhatsApp, viber, telegram, Nimbuzz, wechat etc lakini kama unataka kuweka vitu vingi sana tafuta cmu yenye internal kubwa. Wajanja walishaona hilo tatizo ndio maana utakuta simu kama htc one ina internal ya 32GB, samsung s4 16GB, sasa kuna mtu atakwambia mimi cmu ya internal memory ya 2GB inatosha akishazoea tu anaona haimfai tena. Utakuta kuna msg Update available ukiclick kuinstall utaambiwa memory full aisee unaichukiaje cmu. Hapo bado issue ya speed ya processor lazima urudi kwenye cmu za maana. Wewe inaonekana ni mtu wa kupenda application nyingi nakushauli uza hiyo cmu waachie wageni wa technologia wewe umeshakuwa mzoefu chukua kitu cha maana.

Nimekukubali mkuu.!
 
sometime unaweza kuwa na app chache lakini simu ikawa na setup, compressed files na mafile mengine ambayo yanakula space Fanya hivi kujua.

easy way
install ucweb kama simu imejaa futa app halafu install Hii browser.

ikishakua kwenye simu bonyeza menu yake halafu click download itakuja sehemu ya download halafu click file manager kutatokea kitu cha namna Hii.

uc-browser-smart-download-manager.jpg


hapa itakuonesha aina ya mafile yaliyopo kuanzia video miziki zip files picha na apk futa visivyo na maana ili kufree memory.

hard way
tumia file manager kagua folder moja baada ya jengine kuhakikisha mafile yote yasiyohitakika yanatoka kwenye simu. ila kama hufahamu kipi cha kutoa na kipi cha kubakisha njia Hii achana nayo
 
Back
Top Bottom