Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Teamo naona umejiandaa kweli kweli kwa hii programme all the best
Umekosea hapo, huyo ndo Hommie Kaizer! Amezaliwa kwa kazi tatu tu: Bia, Mila na Mpira!!!
Teamo naona umejiandaa kweli kweli kwa hii programme all the best
Ngojeni mtaona tu vituko....
Teamo unasemaje kuhusu Tiery Hendry?......eeeh! unajua huyu jamaa tatizo lake huwa anachanganya valuu na bia, then anakata network anashindwa kuona magoli,
Kaizer: Aisee Teamo, hebu mcheck Fidel na Bigirita kama wame-order mbuzi plae Maarangu bana, nina kiu halafu limechi lenyewe ndo half time.....ulikuwa unasemaje vile mtangazaji??
Isije ikawa ushachukua mshiko. Nachelea isije ikatokea badala ya kuchambua soka tukachapana makonde!okay okay wana jf!
nilikuwa na mjadala mzito na TIDO MHANDO kuhusu hii programme!sasa tumemalizana na mambo yatakwenda sawia
hahahaha!bigirita unaongea utadhhani ndo wewe ulikuwa unatutreini kwenye liheso!LOLNgojeni mtaona tu vituko....
Teamo unasemaje kuhusu Tiery Hendry?......eeeh! unajua huyu jamaa tatizo lake huwa anachanganya valuu na bia, then anakata network anashindwa kuona magoli,
Kaizer: Aisee Teamo, hebu mcheck Fidel na Bigirita kama wame-order mbuzi plae Maarangu bana, nina kiu halafu limechi lenyewe ndo half time.....ulikuwa unasemaje vile mtangazaji??
umekosea hapo, huyo ndo hommie kaizer! Amezaliwa kwa kazi tatu tu: Bia, mila na mpira!!!
Mumbebee mdudu au hata mkia, huwa akawii kusikia njaa na kiu!! wapiga peano unawajua wewe!! kama wapuliza tarumbeta vile!!Utashtakiwa kamanda. Haya maneno yanaweza kutufanya tumkose komenteta kaizer....
Tangu alipofumaniwa, waifu kampa ban la kutotoka chumbani. Leo atatoka kwa muda baada ya maombi maalum toka kwa Tido.ha ha ha ha hivo mbona haonekani huyu mwanadamu ametangaza nia??
Dah! Ni heri asikie njaa kuliko kiu. Namjua hommie wangu yule LOL!!Mumbebee mdudu au hata mkia, huwa akawii kusikia njaa na kiu!! wapiga peano unawajua wewe!! kama wapuliza tarumbeta vile!!
Kama mnakamata mshiko mbona hatujaalikana?? mi nilifikiria ni mnaenda kuuza sura bure?!Isije ikawa ushachukua mshiko. Nachelea isije ikatokea badala ya kuchambua soka tukachapana makonde!
Nadhani hujajua mimi na kaizer ni kabila gani. Usiulize na Teamo kakamatia wapi jiko.... Haya piga hapo moja jumlisha moja kwa kirumi....Kama mnakamata mshiko mbona hatujaalikana?? mi nilifikiria ni mnaenda kuuza sura bure?!
Hahahaha! Acha hizo.hehehehe!hapa napo pamenimaliza!nimepasevu kumuflash nikamuonyeshe waifu vituko vya kakaake
Hapo sina mashaka, mabubuzela yatakuwepo ya kutosha.........hehehehe!mpwa nilikuja marangu jana na komenteta zuma lakini hukuwepo
Hahahaha! Mate umenikumbusha kwa anti na kwa mama seberee. Unakula mbege kadhaa kwa mama seberee then unakuja kamata harufu ya bia kwa kabia kamoja kwa anti. Kama siku hiyo mnacheza na mabinti wa kibosho girls shughuli inakuwa ya kuelewa.Naombeni Wapwa hawa warekodiwe na video iwekwe hapa JF. Ikibidi muwe na vitshirt vya JF ndani ili mara moja moja mnajifanya joto na kufungua vifungo vya shati kuonyesha JF (jokking).
Wengine tunaoshi madongo kwinama huku Sikonge, itabidi tusimuliwe tu.
Sasa kwa nini msipate Mbenge kwanza? Si ndiyo yenyewe hiyo? Muingie na Libohora (Kirisipini wa jengo refu, nimepatia?)
wewe usiwe na wasi wasi.......kama anaitwa inamoto we sema yabaridi tafadhali, na glass kubwaHahahaha! Acha hizo.
hebu nikumbushe, leo tunaenda kujadili mechi ipi? Nataka nianze kuperuziperuzi hapa. Kama ni japani vs korea itakuwa balaa, yale majina ukichanganya na valuu hatuchelewi kusema matusi lol