Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
oooh!! nilikuwa kwenye "big screen" si unajua.hehehehe!mpwa nilikuja marangu jana na komenteta zuma lakini hukuwepo
oooh!! nilikuwa kwenye "big screen" si unajua.hehehehe!mpwa nilikuja marangu jana na komenteta zuma lakini hukuwepo
sasa washkaji ndo washadaka issue! kuwa mpole tu, usikasirike!! tutawasikilizia jioniInaonekana kabisa watu wenyewe wanaoenda hapo studio hawajiamini!Yaani unajiandaa utafikiri ndiyo wa kwanza kwenda kufanya uchambuzi hapo TBC1 au kwenye TV yeyote hapa dunia.
Mbona watu wana-cross border kwenda kuchambua mambo kadhaa wa kadhaa ikiwemo soccer live;hapo TBC1 tu ndiyo mnagwaya hivyo tukiwavusha mipaka si utatangaza mgonjwa kabisa!
Ninachowaomba mnatakiwa mjiamini na ku-flow kwa usahihi na kusikika;kama hamuweze ni bora mkubali ya ishe kuliko kwenda kuabisha na kuwakatisha watu tamaa.
ha ha ha ha ha ha !na tishu
WAPENDWA, najitokeza hapa kuwaalika kuitizama mechi ya MEXICO VS FRANCE saa tatu unusu usiku ambapo sisi fans wa jf tumeomba na kukubaliwa kuichambua mechi hiyo kabla na baada ya mechi
Ilishindikana hasa baada ya Naijeria kupuliziwa vuvuzela makalioni. Makomenteitaz tukalazimika kuingia mitini lol!hivi muda si ndio huu?.....au mnasikika masafa yapi, tujulisheni
Ilishindikana hasa baada ya Naijeria kupuliziwa vuvuzela makalioni. Makomenteitaz tukalazimika kuingia mitini lol!
jamani eeh!
SITAKI KUAMINI KWAMBA HAMKUNIONA......!:A S crown-1:
...Akili zao na zetu hazichanganyiki!!griiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ilishindikana hasa baada ya Naijeria kupuliziwa vuvuzela makalioni. Makomenteitaz tukalazimika kuingia mitini lol!
jamani eeh!
SITAKI KUAMINI KWAMBA HAMKUNIONA......!:A S crown-1:
(badala ya kuchambua soka, wao walienda kuwachambua akina Eliza)
Acha kugeuza JF kuwa sehemu ya kutuma salamu kwa vimada wako.tafadhali sana fatuma wa chawote usinibipu kabisa,eliza wa zero-pub makao mapya naomba uache kabisa kutuma meseji zako za mapenzi......!
.....Mix with yours.Acha kugeuza JF kuwa sehemu ya kutuma salamu kwa vimada wako.
hahahahaaaa!.yani ww ulifikiri hawa wataondoka kaunta na akili zao zilizochanganyika na valuu waende TBC kuongea huku wakiwa na glass za maji?nilisema hawa kama mtawaona TBC1
mmeona sasa?